Mie nina issue gani hapa mjini na mwezi wangu ni wa kumi(Nov) 16th? Nipe utaalamu wa watu kama sie tufanyaje hapa dunian tusiwe tunakuwa tunapoteza muda tuuuuu
Mh! Unaweza ukawa upo sahihi,ila viumbe hivi mikakati yao ni kuumaliza ukristu ambao ni threat kubwa sana kwao. Na tangia hapo mwanzo hivi viumbe huogopa kutaja jina la Yesu Kristu ila la Mungu wanalitaja kama kawaida. Je hizi dini zingine na viongozi wao si vitisho kwao? Na kwa nini?
Mzizimkavu hii story uliyo leta humu ina mafunzo ya kweli, na chakushangaza huyo kiumbe anatamani kutubu ila ndo hawezi tena, ila sisi uku tuna nafasi hiyo twaichezea. Kingine hii story inavyo muongelea mwanamke, si kwa ubaya ila maandiko yamesema we mwanaume ishi na mwanamke kwa akili, huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.