Recent content by Kambandefu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Asante MziziMkavu nimepata jibu langu. Ila uku niliko mbali na ulipo sema kwa mie wenye nyota ya Libra.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Sorry mwezi wa kumi ( october)
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Mie nina issue gani hapa mjini na mwezi wangu ni wa kumi(Nov) 16th? Nipe utaalamu wa watu kama sie tufanyaje hapa dunian tusiwe tunakuwa tunapoteza muda tuuuuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Poa, nimekuelewa MziziMkavu
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Nimekuelewa mkuu Sina cha kupinga hapo
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Mh! Unaweza ukawa upo sahihi,ila viumbe hivi mikakati yao ni kuumaliza ukristu ambao ni threat kubwa sana kwao. Na tangia hapo mwanzo hivi viumbe huogopa kutaja jina la Yesu Kristu ila la Mungu wanalitaja kama kawaida. Je hizi dini zingine na viongozi wao si vitisho kwao? Na kwa nini?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Swali zuri sana bwana Domhome, embu MziziMkavu tujuze, mbona hawa viunbe huogopa makanisa tuh? Hizi dini zingine kwao wana zionaje?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Mzizimkavu hii story uliyo leta humu ina mafunzo ya kweli, na chakushangaza huyo kiumbe anatamani kutubu ila ndo hawezi tena, ila sisi uku tuna nafasi hiyo twaichezea. Kingine hii story inavyo muongelea mwanamke, si kwa ubaya ila maandiko yamesema we mwanaume ishi na mwanamke kwa akili, huyu...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nusu siku ndani ya jeneza

    Very interesting, can't wait for u mzizi mkavu. Just know am learning a lot from this story.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Kaka hapa umeniacha hoi- hizo power ningekuwa nazo ningewachapaje viongozi wazembe
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kupiga kavu kavu ni noma..!

    Mkuu unatisha sana.. Likijw linakuja hata kwa bwawa labda usipige kitu mbano au cross
Back
Top Bottom