Kupiga kavu kavu ni noma..!

Kupiga kavu kavu ni noma..!

Hivi nyinyi mnaovaa hayo maplastiki wakati wa kubanjuana mnapata raha kamili?
 
BIG UP to my parents who ddnt used a condom and produced a real gentleman like ME...!!
 
Na wao wavae ile pepeta.. mbona kila siku sisi peke yetu? tumechoka sasa
 
Ushauri mzuri...lakini kuna jambo tu nafikiria kivivu hapa, bila shaka kondomu zilitengenezwa kwa matumizi yafuatayo:

1. Kuzuia ujauzito kwa wanawake

2. Kujikinga na maambukizi dhidi ya HIV na STD's

Sasa hiyo nambari 2 ndiyo inayonifanya nifikirie kivivu kwa kutumia nadharia hii...

Kama mipira hii ilitengenezwa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi,

Je walengwa ni kwa wale watu wenye mpenzi mmoja tu au wale wenye utitiri wa wapenzi?

Kama mtu ana mpenzi mmoja tu, kwa nini umtengeneze kinga, ajikinge kwa lipi?

NB:
Binafsi naona jambo la muhimu kusisitiza hapa ni UAMINIFU tu, huwezi kuvaa mpira katika muda wote wa mahusiano/ndoa.

Sasa unataka kusema ukipata mpenzi ambaye umeanza nae mahusiano na hamkupima, na tayari alikuwa ameambukizwa Ukimwi utakusamehe kwa sababu utakuona upo na huyo kwa uaminifu?
 
kupokea majibu ndio sheshe! kuna familia hiyo mdingi aligoma kwenda kupima, mwanamke kakomaa wakapime mwanaume kagoma, akaambiwa ahame chumbani mpaka hapo atakapokubali na kujua afya zao, miaka inakatika wanalala vyumba tofauti. chezeiya kupima shosti!

hahahaaa haya mambo yanahitaji ujasiri wa hali ya juu,ukikumbuka vimeo tu unaahirisha gafla
 
Daaa huwa nikufukiria suala la mahusiano ni jambo pana sana tunuachie muumba hili suala mana hata wazungu wamelishndwa
 
sasa Condom ina Raha gani km mmeoana?
Chagua wako mmoja kula kitu inataka sasa haya mambo hata jitu hulijui unalivulia yaani mm inakata steam kabisa yaani nitamwaga shingo upande mwingine
Hata mm Shoga yangu nakuunga Mkono kabisaaaaa
Ingawa ina hatari zake hasa kwa sisi wa NDOA za Mitala lakini sijawahi na siwezi kukosa huo utamu kwa yeyote atakayeniomba.labda yeye avae nisiione
MUNGU atusaidie
 
Umesema point kweli. Kama wanyama wanajali iweje sisi binadam wenye uwezo wa kufikiri tushindwe? Ajabu sana
1384272515608.jpg
 
Ushauri mzuri...lakini kuna jambo tu nafikiria kivivu hapa, bila shaka kondomu zilitengenezwa kwa matumizi yafuatayo:

1. Kuzuia ujauzito kwa wanawake

2. Kujikinga na maambukizi dhidi ya HIV na STD's

Sasa hiyo nambari 2 ndiyo inayonifanya nifikirie kivivu kwa kutumia nadharia hii...

Kama mipira hii ilitengenezwa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi,

Je walengwa ni kwa wale watu wenye mpenzi mmoja tu au wale wenye utitiri wa wapenzi?

Kama mtu ana mpenzi mmoja tu, kwa nini umtengeneze kinga, ajikinge kwa lipi?

NB:
Binafsi naona jambo la muhimu kusisitiza hapa ni UAMINIFU tu, huwezi kuvaa mpira katika muda wote wa mahusiano/ndoa.

...pamoja sana mkuu,binafsi napigwa butwa, labda kwakuwa na mimi nimefikiri kivivu kama wewe,naona kundi kuubwa la wadau linaonyesha kuwa na mahusiano yasiyo rasmi mara nyingi zaidi. Hii hali inatisha sana,ndoa zitadumu kweli...?
 
noted!!
kuna kitu inabidi tujifunze wadau..swala sio kutumia kinga MUHIMU ni KUAMINIANA kama ni mpenzi wako wa mda mrefu au mtarajiwa wako. Lakini kwa swala la kinga ni kama kumwambia m2 ili kuzuia maralia ni kulala kwenye chandarua...
kinga(condom) ni muhim kama una mechi za nje ambazo hazina home and away(means kurudiana) but kama ni ligi lazima uaminifu unahusika tena sana.
 
Bora sie mademu zetu wakununua ukifika pale dawa ya penzi lazima na hatutaki ufundi tena unakuta papuchi kubwa ka bakuri na kibamia chako unachovyachovya wazungu waleeeee unasepa salamaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom