```Jana niliingia zangu library, palikuwa kimya sana. Wakati natafuta mahali pa kukaa, nikakutanisha macho na MTOTO mmoja hivi shombe-shombe mkali balaa. Akatabasamu kisha akainamia kitabu chake, akaendelea kusoma.```
```Moyoni nikajisemea``` *: " FURSA "*
```Nikamsogelea, kwa sauti ya chini...