DASM
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,400
- 2,939
Wewe Kula mzigo. Mwambie siwexi kukuoa
Bwana we
Leo nimekumbukwa na demu wa kitaaambo ambaye alinikataaga na kuolewa na mwanaume mwengine.
Eti amenimis, ananikumbuka, amenimis, ha ha haaaa baada ya maisha kuwa magumu.
Je nimfanyeje FISI Kama huyu ambaye anataka kurudiana nami baada ya kupigika???