Hiyo niliiona kwa mara ya kwanza Kilwa ambapo baiskeli ndo zilizokuwa zinabeba akifika mghahawani alikuwa anaegesha baiskeli yenye mwili ktk mti na kuingia kupata chochote. Kule ni common kuona hayo walinishangaa mm kwa kushtuka. Mhusika huhudumiwa haraka mghahawani huku akipewa maneno ya faraja...
Ni tapeli na wengi wamemstukia na hawaendi kwa wingi km zamani. Pako patupu muda mwingi na aliwahi kutabiri ktk uchaguz mdog arumeru kuwa Sioi atashinda kwa kishindo majibu yakawa Nasari alishinda kwa kishindo. Je Mungu hudanganya? Wengi wameshamjua kuwa tapeli hawaendi tena. Ni biashara kwa...
Pia mlinzi anayeruhusu wateja kuingia ndani crdb kinondoni manispaa ni kero. Anavuta buku 5 na kutuhusu wengine zamu zenu majaliwa. Waweza ukawa wa 10 ktk no. But ukahudumiwa wa 40. Ni kero kubwa
Acha kulidhalilisha kanisa na maccm. Ni misingi gani maccm wanayosimamia inayolingana na kanisa. Mmeanza kutugawa wakristu kwa waislam. Sasa mmegeukia ktk kugawa wakristu kwa wakristu. Hatimae mtatugawa waislamm ktk madhehebu ndani yake. Eg shia suni nk. Inshalla. Mungu tunusuru umoja wetu udumu
Naona hujajua wanayofanya huko. wanyama wanavunwa kila leo na wao hawahitaji kibali kuingia wala kutoka na mfalme wa saudia huwa ankuja mala nyingi kupumzika. wananchi wananyanyaswa, na mala nyingi wamekwenda hadi Dsm kwa wahusika kulalamikia kunyanyaswa na waarabu hao hakuna mafanikio. zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.