Mambo yalishakwisha na maamuzi yamefikiwa hii nchi haiuzwi kwa bei yoyote ile, na kujikomba mwanaume mzima kwa mwanaume mwenzio ni kijidhalilisha kupita kiasi ..in short Lowassa si mwanasisa sema anasaidiwa nà pesa za wizi ila tactics hazijuhi ndo maana utaona leo anakosoa, kesho anasifia mara anatukana, wakati mwingine anabeza ama tena anakuwa mpole na kuomba msamaha.
Amekuwa kama mtu aliyelukwa na akiri na hajui anatakiwa afanyeje, hata kujitangaza kwamba yeye na mheshimiwa hawajakutana barabarani na eti walipanga waachiane ni utoto pia, mambo yenu wawili unakuja kuyaanika hadharani kama si umbea nini, na ili iweje ama ndo unamshitaki, na je wakati mnapatana sisi tulikuwepo, sasa ya nini leo unabwatuka ili wakusaidie nini? huyu Lowassa hamna kitu zaidi ya kuwa mwana kaole mzuri.