Naona mtoa post unaweza kuw hujawaza hv unahis unapata mahitaji gani kma ukiwa kiumbe upo Chuo huna mkop waza kwanza mzaz mbona n swala dg tyuu haliitaj degree wala nn
Leo kuna walm hawana ajira
Halafu unatoa statement kwamba ya mikutan unaajir watu Kenya watu wanakufa katika zahanati...
Hapa naona kama tunawekwa kuja Giza amblo mwana wak unahitaj elim na sio malumban
Lakin pia naona kama rais amekuwa yuk mbele bila kutoka kujua hoja n mitaxam ya wapinzan hiki kitu kinaleta uchum na maendeleo kuwa kama yanasukumwa na kinyonga
Raisi muaminf ni yule mweny Hekima busara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.