Recent content by Kalitike

  1. K

    Wafanyabiashara wahaha kumuangukia Dk. Magufuli

    Tunataka tuambiwe makusanyo kwa mwezi yatafika kiasi gani ili tupime mchango wa hii kasi ya JPM
  2. K

    Hii ni kweli ya Magufuli au ni safisha UKAWA na visasi?

    Ndio ujue sasa kuwa Ukawa lilikuwa ni kundi la majambazi. Wengine mulikuwa mnafuata mkumbo tu
  3. K

    Taharuki: Mwalimu wa Shule ya Msingi Lindi, awekewa Jeneza na watu wasiofahamika

    Huo usanii mara nyingine unafanywa na wahusika wenyewe ili wapate sababu za kuhamishwa huko vijiji kirahisi ili waende mjini. Kama vile wanawake wanavyofunga ndoa fake na wanaume wa mjini
  4. K

    Nasikia watu wa Mtwara ni wachawi sana,tafadhali msaada

    We useme tu upo kwenye ziara ya kutafuta uchawi.
  5. K

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    Washauri wasiendelee kupoteza fedha, rais ajaye atatoka Zanzibar
  6. K

    Mwigulu Nchemba akamata Ajira hewa elfu 14, Zaidi ya Bilion 10 zaokolewa

    Hongera Mwigulu, ingawa kuna tatizo la usanii kwa hawa viongozi wetu vijana. Kwa nini isiwe ni isue ya wizara na sio one man show
  7. K

    Rais Jakaya Kikwete, ameitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu kitakachofanyika Dodoma

    Isue ya kupokezana vipindi vya urais kati ya Tanganyika na Zanzibar ikikolea lazima bunge liahirishwe.
  8. K

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Ingekuwa wenzetu huko Ulaya kwa upuuzu alioufanya asingepata tena deal za kucheza matangazo maana kampuni makini haiwezi kujihusisha na watu wahuni, ila hapa Bongo eti hiyo ni kik
  9. K

    SWALI: Kwanini Tanzania kuna Polisi/Wanajeshi/Usalama wa Taifa feki wengi?

    Hiyo ni dalili kuwa hizo sekta zimejaa rushwa za njenje, mbona hakuna waalimu fake?
  10. K

    Ilikuwa lazima TBC kufanya sherehe ya World Cup?

    Kumbe ulikuwa unaangalia?
  11. K

    Sio siri matangazo ya biashara TBC 1 yanakera sasa!!

    Inabidi uvumilie tu maana pale kuna ya Fifa na T bc. Lakini ukweli ni kuwa hayo matangazo ndio yamesaidia wewe uweze kuona michuano hiyo bure kupitia TBC maana ungelazimika kulipia DSTV. Haki ya kurusha world cup ni ghali sana
  12. K

    Uchambuzi wa soka TBC World cup 2014 Brazil(by mwl.kashasha)

    kwa hawa wachambuzi wetu akiwemo Dr liki hakuna anaemfikia Mwl Kashasha. Zile mbwembe za kufahamu historia za timu na wachezaji ndio zinazowabeba akina Liki, lakini kwa uchambuzi wa kitaalam hakuna lolote
  13. K

    Baada ya Bunge na kombe la dunia kwisha TBC wafunge kituo

    Hayo maneno mnayasema kila siku, lakini ukienda kuangalia reports za synovate bado TBC ipo kwenye tatu bora, sasa sijui tuwaiteni wanafki au hamko wengi. Wala huna haja ya kusema, kama hawana contents zenye mvuto obviously watu wataangalia channels nyingine maana hakuna anaelazimishwa kuangalia...
  14. K

    Barabara ya mabasi yaendayo kasi ni salama kwa watumiaji

    Mkandarasi, kabla ya kujibu hoja jiridhishe vizuri kitu kilichoongelewa, Nipashe wameongelea barabara ya kupita magari ya kawaida wewe unajibu barabara itakayopita magari ya mwendo kasi. Kwa namna hii hata kama una hoja watu watajua ni kama mtetea uozo tu.
  15. K

    Kwanini wamakonde wanadharauliwa?

    watu wengi walikuwa hawajawahi kufika mikoa ya kusini kutokana na tatizo la miundombinu lilosababishwa na serikali ya awamu ya kwanza kuitelekeza mikoa hiyo, hivyo walidhani watu wa huko ni waajabu saana. kwa sasa kusini kumefunguka, watu wanaoenda huko ndio wanashangaa kuona kumbe mazingira ni...
Back
Top Bottom