Great Britain na united kingdom ni kitu kimoja
Utofauti ni majina tu na inategemea unalitumia ukiwa wapi
Mfano ni jamhuri ya muungano wa Tanzania na Tanzania
Kuna vitu vinatia uvivu hata kuvisoma
Wewe umesema ni mpenzi wako sio mkeo sasa hayo mamlaka ya kutaka kumpangia wa kukutana nae kimwili unayatoa wapi?
Umri wa kuoa ukifika tuoe tuache ujingaujinga kama huu wa kupangia watu jinsi ya kutumia miili yao
Wanahabari,
Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo.
Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa...
Nina kadogo kangu ka kike ambako hakajachaguliwa kwenda advance
Nimejaribu kukachaulia kozi zitakazokafaa kama nilivoonesha hapo chini
Je kwenye hizo kozi ipi ni useless niitoe?
Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri,
Ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina Benard Morrison, Emmanuel Okwi, Beno Kakolanya, Juma Kaseja, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba, Athuman Idd Chuji n.k ni mkubwa.
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka...
Tumepoteza mechi ya jana na hivyo kupunguza matumaini ya kuchukua ubingwa wa NBC, hilo haliondoi ukweli kuwa sisi ni Simba na maisha inatakiwa yaendelee.
Kuna ushauri ambao inatakiwa uzingatiwe hasa na viongozi walioko kwenye maamuzi ya timu, ushauri wenyewe ni kuwa KUNA WACHEZAJI WENGI SANA...
Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr.
Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati.
Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.