Recent content by kalisheshe

  1. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    😀😀 unamfahamu?
  2. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Nani anamjua huyu star?
  3. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakumbwa na aibu Nyankumbu -Geita

    Kwani siku hizi umeachana na ile ID yako ya Heche?
  4. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU…

    😆😆😆 wanangu wa Tisa mbili Hapo wote vichaa
  5. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais samia apewa sifa kwa kufungua njia ya maridhiano na katiba mpya, Je, Heche ameyasema haya?

    Naona umeamua kuitelekeza ile ID yako ya Heche
  6. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Mama Samia ubarikiwe sana kwa hii mikopo ya masharti nafuu kwa wakulima na wajasiriamali nchini pia naipongeza CRDB

    Jitahidi kuitumia akili yako ndogo iliyobaki
  7. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Gen Muhoozi Inspects Swearing In Rehearsals

    Wamejimilikisha nchi na jeshi
  8. kalisheshe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechoka kukimbizana na wanawake, ni process inayokula nishati na mentallity yangu, nifanyeje kuikamilisha hatua hii ?

    Mimi sio mganga ila yeyote aliyetopea kwenye umalaya Hawezi kufanya mambo mengine ya msingi akafanikiwa.
  9. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu: Mwajiriwa akipoteza ajira atapata mafao yake ya jumla ndani ya Siku 90

    Wanawajaza waajiriwa ili wachezee ajira wawafukuze then waje waanze kuwazungusha.
  10. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Hivi mnamchukuliaje dogo douer?
  11. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye hii Dunia, unatakiwa kuheshimu Dola na serikali, uki Mess Up hata Mungu Hana cha kukusaidia

    Wanaitwa mashetani katika maumbo ya kibinadamu
  12. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

    Dabi iko pale pale Yanga gomeeni muone mnavyopokwa pointi
  13. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Viongozi wa vyama 13 vya upinzani wapinga kuundwa kwa tume kutoka nje ya nchi ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

    Huo ujasiri wa kuviita vyama vya siasa mnautoa wapi?
  14. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ajira Mpya (Walimu) Temeke tuliwekewa Laki 9, tukaambiwa ni nauli, sasa hivi wanatuambia turudishe

    Maoga makubwa nyie Pesa ya serikali unairudishaje? Umepewa utaratibu wa kuirudisha? Takukuru wanafahamu? Piga simu uwaombe control namba ya serikali uone kama watakupa
Back
Top Bottom