Recent content by kalisheshe

  1. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Mshahara wangu Tsh. 600,000, nataka nikope milioni 15 nijenge na kuongeza mtaji wa biashara, naomba ushauri

    Kopa uishi maishi ya ndoto zako Hata kwa siku 1
  2. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania John Heche moments special thead

    Ni moja kati ya watu tuliobarikiwa kuwa nao kwenye taifa
  3. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Simbachawene ameamua kuidai Tanganyika na kutaka uwajibikaji ndani ya CCM

    Isije ikawa imedukuliwa Wenye huu ujasiri Tanzania hawapo
  4. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania kufa masikini Tanzania ni kujitakia

    Kuna muda niliwaza lissu na heche wachukue chao wakae kando Ikiwezekana wastaafu siasa maana wanaopiganiwa ni ng'ombe kabisa wasio na akili. Haiwezekana watu wanatangaza maandamano ya amani mijitu inajaza vyakula ndani na kujifungia
  5. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Nani kumrithi E. NCHIMBI?

    Riz one kikwete
  6. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Kwa jucho la kimedani Riz one kikwete anafaa kukalia hicho kiti
  7. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Hii ndio list ya candidates wanaomfaa Rais kukaimu nafasi ya Vice President, Hawana Dramas, watakwenda nae bega kwa bega

    Kwa jicho la kimedani Riz one kikwete anafaa kukalia hicho kiti
  8. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Huyu mjasiriamali "hana ndugu", inasikitisha sana

    Wengine ni majini wamevaa miili ya wanadamu
  9. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Ukomavu wa Kisiasa wa Freeman Mbowe ni wa kupongezwa

    Leo Mmesahau kama mlituma watu wampige mkasingizia konyagi
  10. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Benchi la ufundi la Simba SC Kesho msituangushe

    Simkubali kabisa semfuko Bado namuona kama ni dogo anaetakiwa kupelekwa timu ndogo akapate experience
  11. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania FVS imekuja kwaajili ya Simba, walibebwa sana na makosa ya kibinadamu

    Kibao kikigeuka tusisikie milio
  12. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Haji Manara apandwa na wazimu baada ya Oscar kuilalunu serikali, ataka kulia studio

    CCM sio kabisa Najiuliza waliwezaje kumsaliti johnthebaptist
  13. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi member johnthebaptist???

    Hivi kumbe inawezekana!!!?!!
Back
Top Bottom