Recent content by kalisheshe

  1. kalisheshe

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Hapo umekula kilo moja ya wali na nusu ya kitimoto halafu unasema umefunga.
  2. kalisheshe

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    kwa haya maisha ya siku hizi kila mtu anachapiwa. labda kama kuna hoja nyingine nzito.
  3. kalisheshe

    Nmeacha kazi bila kumshirikisha mwajiri, Je naweza Kupata NSSF yangu?

    Huwezi kupata mafao bila barua ya mwajiri kuonesha umeacha kazi na hiyo barua ni lazima iwe na muhuri wa ofisi pamoja na sahihi ya mwajiri. siku hizi hivyo vinafanyikia online ambapo ni lazima mwajiri aingie kuidhinisha. Kazi kwako
  4. kalisheshe

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Namjua Ni jamaa mmoja bishoo mzee wa mademu Kawazalisha wengi kawakimbia Ni kama side mnyamwezi
  5. kalisheshe

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Tunafanana Ingawa sikupata nae mtoto Nikipata mwanamke namchoka mapema kuliko ilivyokua kwake
Back
Top Bottom