Recent content by kalisheshe

  1. kalisheshe

    Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Great Britain na united kingdom ni kitu kimoja Utofauti ni majina tu na inategemea unalitumia ukiwa wapi Mfano ni jamhuri ya muungano wa Tanzania na Tanzania
  2. kalisheshe

    Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Kwa sasa mkuu wake ni mfalme charles III
  3. kalisheshe

    Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Ulichosahau kusema ni kwamba hizo nchi zote zipo chini ya utawala wa kifalme
  4. kalisheshe

    Mpenzi wangu kakubali kukutana kimwili na rafiki yangu

    Kuna vitu vinatia uvivu hata kuvisoma Wewe umesema ni mpenzi wako sio mkeo sasa hayo mamlaka ya kutaka kumpangia wa kukutana nae kimwili unayatoa wapi? Umri wa kuoa ukifika tuoe tuache ujingaujinga kama huu wa kupangia watu jinsi ya kutumia miili yao
  5. kalisheshe

    Tasnia ya Habari na vifo vya mapema, nini kipo nyuma ya pazia?

    Wanahabari, Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo. Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa...
  6. kalisheshe

    Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

    Nitaondoa tarrifs na vikwazo vyovyote vinavyowafanya watu wasifanye biashara
  7. kalisheshe

    Tetesi: Pacome Zouzou ni mnyama

    Sawa
  8. kalisheshe

    Wenye exposure na uzoefu wa nchi yetu mje mnipe msaada hapa

    Hapana siku Hizi mwanafunzi anaingia mwenyewe kwenye system kuomba
  9. kalisheshe

    Wenye exposure na uzoefu wa nchi yetu mje mnipe msaada hapa

    Shukrani mkuu Kwa hiyo logistic ni nzuri kuliko law?
  10. kalisheshe

    Wenye exposure na uzoefu wa nchi yetu mje mnipe msaada hapa

    Nina kadogo kangu ka kike ambako hakajachaguliwa kwenda advance Nimejaribu kukachaulia kozi zitakazokafaa kama nilivoonesha hapo chini Je kwenye hizo kozi ipi ni useless niitoe?
  11. kalisheshe

    Tetesi: Pacome Zouzou ni mnyama

    Hamtaamini
  12. kalisheshe

    Tetesi: Pacome Zouzou ni mnyama

    Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri, Ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina Benard Morrison, Emmanuel Okwi, Beno Kakolanya, Juma Kaseja, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba, Athuman Idd Chuji n.k ni mkubwa. Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka...
  13. kalisheshe

    Ushauri kwa simba yangu

    Tumepoteza mechi ya jana na hivyo kupunguza matumaini ya kuchukua ubingwa wa NBC, hilo haliondoi ukweli kuwa sisi ni Simba na maisha inatakiwa yaendelee. Kuna ushauri ambao inatakiwa uzingatiwe hasa na viongozi walioko kwenye maamuzi ya timu, ushauri wenyewe ni kuwa KUNA WACHEZAJI WENGI SANA...
  14. kalisheshe

    Mzamiru Yassin ni kiungo mzuri kuliko Babacar Sarr

    Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr. Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati. Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
Back
Top Bottom