WEWE acha umbeya wako. si lazima kila mkuu wa mkoa kuwa mwana CCM. hata pia ikitokea akahama wewe inakuhusu nini mbona kuhama ni kitu cha kawaida sana HATA MGOMBEA WETU PENDWA ALIHAMA TOKA CCM DAKIKA ZA MAJERUHI kwa hiyo wewe haupendi ccm yenyewe kupata wanachama kama wanapenda kwenda huko...
lipumba ni zaidi ya CUF kifikra yaani sijaamini ati chama kimeibiwa na mtu duuuuu hakuna chama hapo
heshima kwako lipumba kweli umeonyesha UPROFESA WAKO WA MASUALA YA UCHUMI
Ndugu wanajukwaa nimefuatilia sana suala hili suala na hatma yake nimeshindwa kuelewa kabisa je ben yu bukheri wa afya au la?
kasapatikana au la ?
najiuliza haya kwa sababu sisikii chama wala serikali wakilijadili hili sasa najiuliza hii manake nini au ile taarifa ya ben kuibuka ilikuwa kweli...
Mapema sana niliandika haya
Topic: CHADEMA ikishinda Ubunge Kigoma Kaskazini nahama Jimbo Kalinzi 07:46 27th July 2015 .
Uteuzi wa awali wa kugombea Ubunge CHADEMA umemalizika ambapo Dr Yared ameibuka kidedea pongezi kwake. Pamoja na kushinda uchaguzi ametumia mbinu chafu sawa na za CCM na...
kura ya maoni imemalizika rasmi na mshindi ni DR YARED FUBUSA pamoja na mtu huyu kushinda kagawa sana rushwa ili kupata uongoz labda tuseme fine shida ni huku mtaani ana sifa ya pesa lakini matendo yake hata kumdadi ni vigumu tukumbuke historia ya jimbo hili hawachagui chama wanachagua mtu na...
Uteuzi wa awali wa kugombea Ubunge CHADEMA umemalizika ambapo Dr Yared ameibuka kidedea pongezi kwake.
Pamoja na kushinda uchaguzi ametumia mbinu chafu sawa na za CCM na hayumo kabisa mioyoni mwa wapiga kura.
Watu wanalalama kwa kuachwa kwa kipenzi cha wananchi ndugu Acran John , anguko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.