Hapana mkuu wale kina Anna ni CCM ila temporary offices zao zilikuwa upinzani kazi imeisha now wamerudishwa office kuuccm yenye wanachama milioni nane wamekosekana watu wanaofaa? mim nauliza tu.
Ateue na chadema basi kama ataweza au ana nia njema hiyo unayotaka kusema kwa nani asiyeweza kuongea kama alivyoongea mgwira hata mimi naweza nikipewanacho kijua presdnt anaamin ktk uchapakazi wa mtu, mama mghwila ukimsikiliza anaongea shida zilizopo tanzania na kutoa suluhisho,
kuliko chama kilicho uzwa wao ni lawama tuu kaa mtoto wa kambo hawana jema kila kitu kwao ni tatizo
Haya mambo yanastahajabu yake GIA ZA ANGANI ndio ilikuwa funguoccm yenye wanachama milioni nane wamekosekana watu wanaofaa? mim nauliza tu.
Ni kirusi ktk upinzaniKwani ACT nao ni wapinzani?
ccm yenye wanachama milioni nane wamekosekana watu wanaofaa? mim nauliza tu.
Kwahiyo ccm waliobaki hakuna mchapakazi?nacho kijua presdnt anaamin ktk uchapakazi wa mtu, mama mghwila ukimsikiliza anaongea shida zilizopo tanzania na kutoa suluhisho,
kuliko chama kilicho uzwa wao ni lawama tuu kaa mtoto wa kambo hawana jema kila kitu kwao ni tatizo
ccm yenye wanachama milioni nane wamekosekana watu wanaofaa? mim nauliza tu.
kwani act ikiwa ccm kuna tatizo kwani? wewe inakuhusu nini?CCM full