Recent content by kalimbwane

  1. kalimbwane

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Chenge ni mnyatuzu sio msukuma! Makabila haya mawili yametofautiana sana.Kuna moja ni wanafiki sana na jingine ni la watu wachache ila wanaojitambua kidogo. Usitegemee kwa chenge kutokea kitu kama hicho.Ametafutwa mnafiki mmoja kutengeneza movie ili na wengine waige. Sent from my Infinix NOTE...
  2. kalimbwane

    Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya?

    Siku sio nyingi tutakuja kusikia mkituambia kwanini tusimtengenezee sanamu kubwa sana na tuliweke kwenye viunga vya jiji la dodomya ili kila itakapofika mwezi wa dahali basi kila Mtanzania itampasa kwenda kuanguka kifudifudi na kuliabudia na yeyote atakaye kaidi basi hata kuwa mzarendo na...
  3. kalimbwane

    Chuki, uadui, kuombeana mabaya, kushangilia msiba, kufurahia mwingine kushindwa

    Mwambieni sizonje ajitathimini kwanza kuwa ni wapi anaipeleka Tanzania yetu
  4. kalimbwane

    John Cheyo: Rais Mwinyi yuko sahihi, Magufuli anastahili kuongezewa muda wa kuongoza

    Wala usipate shida tutaanzia vijijini kwao kuwalaza Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
  5. kalimbwane

    John Cheyo: Rais Mwinyi yuko sahihi, Magufuli anastahili kuongezewa muda wa kuongoza

    Waongeze na kipengele cha kuwaondolea kinga viongozi ili wakifanya uhuni tuwafikishe kisutu. Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
  6. kalimbwane

    Ni kiwanja gani unapendekeza wanaJF tuwe angalau tunaonana weekend?

    Sisi wa rock city tukutane villar park au vipi?
  7. kalimbwane

    Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

    Naomba nikufahamu rafiki
  8. kalimbwane

    Mbowe ni miongoni mwa waliokwamisha uendelezaji wa viwanda ?

    Wanashindwa kuuliza kwanini mgodi wa makaa ya Mawe kiwila umesimama tena ambao ulikuwa ukifanya kazi eti wanauliza aridhi kweli watanzania ni mambumbu na malofa
  9. kalimbwane

    Mbowe ni miongoni mwa waliokwamisha uendelezaji wa viwanda ?

    Wakati mwingine acheni upumbavu kwani huo mto umeanza kutumika Jana? Mabonde mangapi yana limwa na kila aina za mbolea zikitumika katika Kilimo huko kapunga na kwingineko mbona hamsemi Kilimo kifungwe? Acheni wivu na husuda visivyo na maana ndio maana asilimia kubwa mnakuwa masikini kwasababu ya...
  10. kalimbwane

    Mbowe ni miongoni mwa waliokwamisha uendelezaji wa viwanda ?

    Kama haijaendelezwa anyang'anywe ila sio kule kwa huharibu maeneo yanayo zarisha.Sitakuwa mnafiki hata siku moja kuharibu ile miundombinu ya green house hawakufanya haki
  11. kalimbwane

    TICTS Kuilipa TPA Dola Milioni 14 Kodi ya Pango Kutoka Dola Milioni 7

    Pia mkumbuke kuwa awamu zote zilikuwa ni za ccm,kwahiyo tukubaliane kuwa ccm ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo.
  12. kalimbwane

    Nani aliyemshauri Rais Magufuli amjibu Lowassa?

    Na bado mtaendelea kutokumuelewa sana tu! Sisi tunao mjua hilo tulilitambua tangia kipindi kile akipiga push ups majukwaani pale pale tukajua tumelamba galasa.
Back
Top Bottom