Recent content by kaligopelelo

  1. kaligopelelo

    PostGE2025 Madenge kasema kwamba wao wamepokea $2M. Sielewi kwanini mnamtukana wakati inajulikana kabisa watu wanalipwa?

    Huo msamaha ameomba mahakamani au k kwenye mitandao ya kijamii? Aliyeombwa msamaha ni nani? Na sheria zetu za nchi zikoje juu ya tukio kama hili? Mtu afanye uhaini halafu kesi iishe kwa kuomba msamaha inaingia alikilini?
  2. kaligopelelo

    Marekani yapeleka meli za kivita 5 katika pwani ya Israel

    Sasa unasaidia silaha wakimbizi kwanini wasiletewe viroba vya mchele na ngano ?
  3. kaligopelelo

    PreGE2025 Ikitokea Mchungaji Gwajima akajiunga CHAUMMA, upepo wa siasa utabadilika nchini

    Kwahiyo unataka kusema kuwa,ccm walipanga kuleta Taharuki Kwa kuteka watu hovyo na kumtoa kafara Gwajima? Sasa mwambieni huyo Gwajima asikimbie askari hii ni movie tu inachezwa halafu tuone huko mbele kutatokea nini.
  4. kaligopelelo

    Simba akichukua kombe, nipigwe ban ya siku tano

    Mpaka wafukuzane na wataanza kuvujisha siri zao zote za ubaya ubwela
  5. kaligopelelo

    'Technically' nina wasiwasi na Simba SC kupata Matokeo CAFCC Final huko New Amaan Stadium Zanzibar

    Ukiwa serious unatema madini tupu,hata Jemedari Saidi itakuwa anaibia vitu kwako.
  6. kaligopelelo

    Simba wamewafanyia mashabiki wao utapeli

    😂😂 usikute huyu ndo Mguto kabisa yaani,hizi fake id hizi basi tu.
  7. kaligopelelo

    CAF: Ripoti ya Mkaguzi imeonesha Uwanja wa Mkapa hauwezi kukamilika kwa ajili ya Fainali ya Simba Vs Berkane

    Makolo nitawaona hawana akili sana wasipogomea kucheza hii mechi.
Back
Top Bottom