Huo msamaha ameomba mahakamani au k kwenye mitandao ya kijamii? Aliyeombwa msamaha ni nani? Na sheria zetu za nchi zikoje juu ya tukio kama hili? Mtu afanye uhaini halafu kesi iishe kwa kuomba msamaha inaingia alikilini?
Kwahiyo unataka kusema kuwa,ccm walipanga kuleta Taharuki Kwa kuteka watu hovyo na kumtoa kafara Gwajima? Sasa mwambieni huyo Gwajima asikimbie askari hii ni movie tu inachezwa halafu tuone huko mbele kutatokea nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.