Kama hawa ndo aina ya wabunge tulionao, ni dhahiri shahiri ya kwamba safari yetu bado ndefu sana katika kufikia demokrasia ya kweli, swali dogo tu la kujiuliza ni je? Mbunge huyu hawezi kutekeleza au kuunga jitihada za magufuli akiwa ndani ya chama chake? Je kuna chama ambacho itikadi yake...
Hakuna namna yeyite ile ya kuficha ukweli, yote hayo wanayofanya yatafahamika tu siku moja. Kuna mwanafalsafa mmoja alipata kusema; Unaweza kudanganya watu wachache kwa wakati wote lakini huwezi danganya watu wote kwa wakati wote
Huyo jamaa anaweza hata kubandika plate number ya serikali kwenye nyumba yake, kwa hiyo usishangae kukuta namba ya serikali kwenye gari yake anayotembelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.