Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,308
hyo vogue ni more expensivenaomba kuuliza mnaojua magari, kwani hii range rover brand new na land cruiser vx v8 mma kabisa ipi bei ghali zaidi????
hyo vogue ni more expensivenaomba kuuliza mnaojua magari, kwani hii range rover brand new na land cruiser vx v8 mma kabisa ipi bei ghali zaidi????
Hii pikipiki hapo mbele mbn haina no za bongo
hyo vogue ni more expensive
Two different cars,this one ni sport while the orher one ni vogue japo yanafanana rangi
Naona watu wengi wanamtuhumu makonda ila ukweli ni kwamba iyo gari iko edited
Ukiangalia plate number ya pembeni unagundua hii sio picha ya Tanzania na hiyo range imefanyiwa mock up ya hiyo plate number.
Hiyo edited mkuu ,jarib kuangaria uwiano wa hiyo plate no~ na position ilipo ,nafas ya kuwekea plate number kwenye hiyo gari ni ndefu na nyembamba
Sawa mkuu ahsante kwa kunieleweshaHapo ni Zanzibar kuna clip anashuka kwenye hiyo Range Rover na watu wanamshangilia.Vingine muwe mnajiridhisha kwanza kabla hamjakimbilia kusema "edited"
Two different cars,this one ni sport while the orher one ni vogue japo yanafanana rangi
Chifu mbona hujajibu maswali yangu? Kuhusu protokali uliyoitaja na dhana ya kubana matumizi. Au kubana matumizi kupo kwa wengine tu?Yeye kapewa atumie tu,wewe inakuwasha nini wakati pilipili haikuhusu
Sawa mkuu ahsante kwa kunielewesha
Kinachofanya range rover ziwe chache mjini ni ushuru wake tu, huenda range rover hiyo imenunuliwa kwa jina la serikali ili kukwepa ushuru wa TRA ambao ni mkubwa lakini kumbe ni gari binafsi na inaweza kuwa ni biashara binafsi kwa kutumia ofisi ya umma.Si kuna kipindi Askofu Gwajima alisema zero brain gari analotumia kamnyang'anya jamaa mmoja na kuweka namba za cheo chake?lbda ndio hiyo sasa!
Fake designer wears ni tell ya washamba.The mere fact kila mtu alipoona gari lenye plate number za RC aijalishi liko wapi mtu kwa kwanza kufikiriwa ni makonda the kid has acquired taste in a very short space of time. Sijawahi kumuona Mwigulu wala Makamba in designer wear Makonda tayari that is becoming the norm.