Recent content by kalamuyangu1

  1. kalamuyangu1

    Kukaa Kijijini ni kufeli maisha

    Napingana nawe: Kuishi kijijini sio ufinyu wa akili_Wapo wapambanaji wenye fursa (kijijini), mauzo/biashara zao wafanyia mjini na kurudi kijijini .
  2. kalamuyangu1

    Tujikumbushe kidogo kauli za viongozi wa Simba

    Ahsante kwa ukumbusho.
  3. kalamuyangu1

    Namshauri Lema arudi Canada kuungana na familia yake. Haya matusi kwa watanzania yametosha sisi wanaArusha tusije laumiwa baadae

    Haipendezi kuukata mkono ilhali maji yamejaa nchini. Lipo la kujifunza pamoja na kuyaacha yasiyo na mantiki.
  4. kalamuyangu1

    Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

    Njoo na daktari wa mbavu chap! [emoji1787][emoji1787]
  5. kalamuyangu1

    Skendo ya ushoga yamtafuna Hakika Ruben baada ya video zake kuvuja

    Uchekeshaji nao umekuwa chaka la maovu.
  6. kalamuyangu1

    Taifa linaomboleza. CHADEMA wamebaki kuendekeza majungu. Hawajui hata zilizoendelea raia hushiriki kuokoa kwenye majanga?

    Siku ya jana nilishangazwa sana. Kila channel niitafutayo nakutana na mambo nisiyoyatarajia
  7. kalamuyangu1

    Nimefanikiwa kufungua online radio

    Hongera sana mpambanaji. Umepiga hatua kubwa mno [emoji109][emoji109]
Back
Top Bottom