ACT Arusha hawapo wapo wahuni Fulani wanaopita mtaani na kudanganya kuwa wao ni ACT hata hawawezi kujitokeza kama chama cha siasa. Kwa maana hiyo wamevunja hilo jengo wenyewe ili wasingizie kuwa kuwa wameibiwa hafu kwanini kadi za chadema tu wa aruumeru neo ziibiwe? Halafu less huwa hatuachi...
Wengi watasema kuondoka kwake kanunuliwa la lini usemi huu; hatuna pesa hatunaa mahakama hatuna polisi hatuna vitisho ila Mungu,nfuvu ya Umma,na misingi thabiti ya uongozi katika kuwaondoa watanzania kwenye minyororo ya unyonyaji CCM. Karibu sana tuungane pamoja kwa ukombozi
Waondoke hakuna Baja ya kuendelea kuwa na viongozi walafi waende kwa zito Z Kabwe ameshaandaa vyeo vya kuwapa wasaliti wenzake ACT ina nafasi nyingi ikiwepo nafasi ya m/kiti wa chama na Katibu Mkuu maana ndo kiu yao.
Dhamani ya wazee kama akina Butiku sio kwa sababu ya swala nyeti lililoko mbele ya Watanzania la uwandikishwaji wa Katibu mpya' sio kwa kuwa si wanachama wa CCM Au CHADEMA la ni kwa sababu ya unyeti wao walioonesha katika majukumu yao walioonwsha ni katika kusikiliza maonu ya wananchi katika...
Mayanga.
Kama unakerwa na chadema hama nenda sisiem ingawa tunakujua kuwa we ni mwanachama Hali wa magamba hi yo tapatapa ukichoka tuachie nafasi tuendelee kuwa ma Mbowe
Meru moja unaelekea unataarifa za uhakiki kuhusiana na jambo husika tunaomba taarufa kamili, n@ kama umesom@ taarifa niliyoandika nimeleta jinsi tasrifa ilivyonifikia na wala sijui kilianzia na kilipoishia. Sijui pia unamaanisha nini kusema nataka kuwachingsnisha viongozi wepe, swala ni kwamba...
Si swala la viongozi pekee ila jamiiisikubali kufarakanishwa kwa maslahi ya viongozi wanaolenga kutafuta umaharufu usio rafiki na maendeleo ya wananchi.
Huu ni mgogoro wa ardhi baina ya vijiji viwili vinavyopakana kijiji cha Arash kata ya Arash na kijiji cha pilaya kata ys malambo. Kwa taarifa zilizotufikia ni kwamba wananchi wa vijiji husika waliingia kwenye migogoro hiyo siku mbili zilizopita.
Wanakijiji wa piyaya kwa msafara mkubwa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.