Yeah..ile biashara haihitaji aibu, kijiwe chake kilikuwa kituo cha basi ila sasa kimeondolewa baada ya ujenzi wa mwendo kasi....
Mbona kawaida sana hiyo.. kuna mhindi kule town ameajiri watu wanauza mihogo ya kukaanga pale chini ya apartment yake . Kila kipande 500 na foleni yake balaa. yeye...
Ha haa! We mzee unatoa shule
Ha ha haa!.. nilichojifunza we mzee umejipanga watu wana ku criticize humu kwa wivu tu!..
Asante kwa shule ya mahusiano, malezi, uwekezaji, masomo, mapenzi etc. HAPPY BIRTHDAY MWANAHABARI USIE NA KINYONGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.