donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,049
- 21,526
Hivi wanaskia utamu gani
Hivi wanaskia utamu gani
Hivi wanaskia utamu gani
Huwezi kula hela ya MASONIC bure bure, lazima uadhirike dunianLupita jamani
Noma sana hao watuHuwezi kula hela ya MASONIC bure bure, lazima uadhirike dunian
Wewe unawapenda gays??Ukweli ndio huu sasa, na hujakosea hata kidogo.
Wasagaj hampendan kwa nn?Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!
Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.
View attachment 1099478
Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).
Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.
View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Mungu Linda kizazi changu na cha ndugu zangu!
Nawapenda ndiyo tena sana.Wewe unawapenda gays??
Nawapenda ndiyo tena sana.
KweliTruth is wanawake wanawachukia lesbians ila wanawapenda gays. Wanaume wanawakubali lesbians na kuchukia gays. What a balanced paradox
Mbona mimi siwachukii lesbians?Truth is wanawake wanawachukia lesbians ila wanawapenda gays. Wanaume wanawakubali lesbians na kuchukia gays. What a balanced paradox
Mwache na raha zake,kwani akisagana kuna ubaya ganiDada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!
Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.
View attachment 1099478
Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).
Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.
View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Nakuunga mkonoila mwanamke kusaga naonaga wala sio ishu...ishu ya mamen kupigana deep tissues
Jokate ni msagaji wa longi sana hata kabla ya wema ila ni msiri tubado huu sio ushahidi.
Mademu wote wakikutana wanatabia ya kubusiana, kukumbatiana, kupapasana na utakuta hata sio wasagaji.
haya maswala ya chumbani yanahitaji ushahidi wa karibu mno.
lets say Wema sepetu anajulikana ni msagaji(kwa maelezo ya mama yake) na juzi uwanja wa taifa alikua close wanahug na Jokate, Je mbona hamsemi kuwa Jokate kajiingiza kwenye usagaji??
Kwani wee umeelewa vipi? LolDah halafu nilikuwa nakupendaga wewe kumbe una type zako
love you.Hivi utamu wote wa mwanaume huu jamani unaanzaje kukubali kushikwa na mwanamke mwenzio
.
Kifua na misuli ya kiume ikikubananisha kwenye kona na harufu ya kiume mwili wote unasisimkaaaa OMG!!!
Kwenye yale mambo yetu ya 6*6 ndio kabisaaa mimi hoi...
Ahsante mungu kwa kutuletea wanaume
Hizi ni za mwaka juzi.Mbona Lupita anapigwa pipe kama kawaida??Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!
Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.
View attachment 1099478
Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).
Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.
View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?