Lupita Nyong'o ameanza kuunyemelea usagaji

Sema huyo lupiTa naye Bhana...hapo kwenye metGala kavaa kama shangazi yangu wa buhingwe anaenda kanisani
 
Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!

Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.

View attachment 1099478

Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).

Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.

View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Wasagaj hampendan kwa nn?
 
Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!

Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.

View attachment 1099478

Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).

Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.

View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Mwache na raha zake,kwani akisagana kuna ubaya gani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
bado huu sio ushahidi.
Mademu wote wakikutana wanatabia ya kubusiana, kukumbatiana, kupapasana na utakuta hata sio wasagaji.

haya maswala ya chumbani yanahitaji ushahidi wa karibu mno.

lets say Wema sepetu anajulikana ni msagaji(kwa maelezo ya mama yake) na juzi uwanja wa taifa alikua close wanahug na Jokate, Je mbona hamsemi kuwa Jokate kajiingiza kwenye usagaji??
Jokate ni msagaji wa longi sana hata kabla ya wema ila ni msiri tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hivi utamu wote wa mwanaume huu jamani unaanzaje kukubali kushikwa na mwanamke mwenzio
.
Kifua na misuli ya kiume ikikubananisha kwenye kona na harufu ya kiume mwili wote unasisimkaaaa OMG!!!

Kwenye yale mambo yetu ya 6*6 ndio kabisaaa mimi hoi...

Ahsante mungu kwa kutuletea wanaume
love you.
 
Dada yetu ambaye ni role model wa mabinti wengi sana Africa ameanza kutoa boko!

Usiku wa juzi, Lupita ameonekana kushikana shikana kimahaba na msagaji maarufu wa Marekani, Jannele Monae huko kwenye event ya Met Gala.

View attachment 1099478

Huyo Jannele ni msanii wa muziki na muigizaji wa filamu. Umaarufu wake unatokana na kuwahi kujitangaza kuwa ni msagaji na kuweka wazi mahusiano yake na Tessa Thompson (wadau wenzangu wa movies mtakuwa mnamjua huyu mrembo).

Inawezekana wakawa wanatoka kimapenzi au wameamua kutafuta kiki au labda Janelle anamrusha roho ex wake (Tessa) waliomwagana hivi karibuni... Sijui.. But haya mambo haya yaanzaga hivi hivi.

View attachment 1099479
Kama ni kweli Lupita ameanza kuiga tamaduni za Magharibi, Wakenya mtaambia nini watu?
Hizi ni za mwaka juzi.Mbona Lupita anapigwa pipe kama kawaida??
 
Back
Top Bottom