Recent content by kakis

  1. K

    Rais Wa awamu ya sita atakuwa na kibarua kizito.

    Ha ha Haa wateuliwa wake tu Viatu vimewapwelepweta,
  2. K

    Nilimfumania, sasa ananitishia kuniua

    Yeah,wenyewe miili yao inawaongoza kuliko akili
  3. K

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Mie ushauri wangu nenda hospital,fungus ziko za aina nyingi hivo unaweza tumia dawa ulotajiwa ikakusaidia kidogo na fungus ikajirudia baada ya muda au isikusaidie kabisa,so nenda hospital wanaweza Fanya culture wakajua dawa ya kukutibu wewe moja kwa moja
  4. K

    Nilimfumania, sasa ananitishia kuniua

    Pole dia,wanaume Hawa ni wakuishi nao kwa akili sana
  5. K

    Nimesitisha kumuombea Rais

    Tuiombee nchi yetu bila kukata tamaa,tukikata tamaa itaenda mrama zaidi ya hapa.miaka kumi mingi eti
  6. K

    Kutoka Mahakamani: Scorpion afutiwa shtaka unyang'anyi wa kutumia silaha na kujeruhi

    Shitaka la scorpion limefutwa,baada ya upande wa mashtaka kufuta kesi
  7. K

    Naomba kufahamu vyuo vitano bora vya afya hapa Tanzania

    Sie hatukua kwenye hivo best but ajira zilitoka zenyewe na mishahara ni sawa na wa MUHAS
  8. K

    Mbowe: Nitaifikisha serikali ya Rais Magufuli mahakamani

    Hii nchi too much kwa vimbwanga
  9. K

    RC Makonda amuwezesha Said alietobolewa Macho na Scorpion Bodaboda, Bajaj na Nyumba

    Angalau naweza now kujitapa Nina Rc anayetujali watu wake,be blessed Mr makonda
Back
Top Bottom