Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua orodha ya kweli na ya utafiti kutoka TCU ya vyuo vitano bora " vya afya"
Kwa mwenye ufahamu
Kumbe tupo karibu sana, namba mbili tu.
PointKila Chuo ni bora kwa namna yake na pia nimeshawahi kupata habari Kuwa Kuna baadhi ya vyuo department baadhi zinatisha aseeh Mfano KCMC wanadai Orthopaedic&ENT Jamaa wako Vizuri upande wa CUHAS internal medicine gynacology obstetrics ni hatariii Huku wakuu MUHAS wakadai karibia Kila department wako njema japo wanasema Kuwa mazingira yao katika kujifunza yanaitaji userious sana ila Mkuu Chuo ni km daraja tu ubora wa mtu ni kujituma tu kujua mambo tumia muda na raslimali zilizopo Vizuri tu Bhasss utakuwa bora tu!!! Jina sio chochote!!!!
Unakosea mie sikuuliza muhas., nimeuliza vyuo vitano bora vya afyaGo east,go west but MUHAS is still the BEST
Let the haters hate don't debate tell them MUHAS is the BEST
MUHAS i love you...........................
IMTU
Hivi kiu ipo vizuri?1.Ajuco
2.Kiu
3.St.John
4.St.Joseph
5.St.Francis
Afu ukisha jua ? What nextNaomba kujua orodha ya kweli na ya utafiti kutoka TCU ya vyuo vitano bora " vya afya".
Kwa mwenye ufahamu
mmeanza lini tabia za ki-UDSM..?Go east,go west but MUHAS is still the BEST
Let the haters hate don't debate tell them MUHAS is the BEST
MUHAS i love you...........................
hii sasa sifaGo east,go west but MUHAS is still the BEST
Let the haters hate don't debate tell them MUHAS is the BEST
MUHAS i love you...........................
Kweli kabisaKila Chuo ni bora kwa namna yake na pia nimeshawahi kupata habari Kuwa Kuna baadhi ya vyuo department baadhi zinatisha aseeh Mfano KCMC wanadai Orthopaedic&ENT Jamaa wako Vizuri upande wa CUHAS internal medicine gynacology obstetrics ni hatariii Huku wakuu MUHAS wakadai karibia Kila department wako njema japo wanasema Kuwa mazingira yao katika kujifunza yanaitaji userious sana ila Mkuu Chuo ni km daraja tu ubora wa mtu ni kujituma tu kujua mambo tumia muda na raslimali zilizopo Vizuri tu Bhasss utakuwa bora tu!!! Jina sio chochote!!!!