Recent content by kakanadada

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kufuru: Kikwete alitumia takribani Milioni 4 kwa siku moja hotelini Serengeti

    Ama kweli Tanzania kuna watu na viatu? Proud to be Tanzanian then unatetea ufisasi? Au nawewe ni jipu linalosubiri kutumbuliwa. Watoto hawana madawati, walimu hawana nyumba, vitabu havitoshi, wagonjwa wanalala chini, dawawa na vifaa tiba havitoshi, barabara hazipitiki maeneo makubwa ya nchi...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi Vs. Waziri Mkuu, nani mwenye mamlaka/mkubwa kwa mwenzie?

    Nashukuru kwa kuweza kuleta taarifa muhimu lakini nadhani ina mapungufu maana imeonesha kazi za Katibu mkuu kiongozi lakini hujaonesha za waziri mkuu. Mie nadhani kwa kutumia logic tu, nadhani uwiano wa madaraka yao nisawa naule uliopo kati ya waziri na katibu wa wizara husika ambapo waziri ni...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kamati kuu ya CCM haifai, ilishindwa kumsimamia JK, imwache Magufuli afanye kazi yake, aibu yenu

    Mleta mada nashukuru kwa uzi mzuri. Watz wote wanaopenda mabadiliko bila kujali yanatoka ndani ya CCm au nje ya CCM tunasikitishwa na kuona mfumo wa wakumbatia ufisadi unataka kuendelea kutufanya wanachi kuendelea kuisoma namba ya UFISADI wakati uchaguzi ulopita ulimaanisha CHANGE from within or...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

    Bila shaka wewe ni LIZI au kivuli chake
  5. K

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    sasa hii no. Siielewi kabisa maana sijui ni ya kichina! Maana sio shufwa, witili wala tasa! Imekuja kivingine! Mwenye kioo hem anisaidie labda nitaielewa lkn kweli hapa kazi tu. We wa musoga umeanza kuisoma. Bado kubisha hodi kwako.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wino wa kuhakikisha mtu aliyepiga kura unakausha na kupasua vidole

    Ndg, mie bado sijaona athari yeyote. Labda niulize kama kuna mtu kati yenu mloathirika alijaribu kusugua sana kidole kilichopakawa hio rangi? Au mna mzio na hio kemikali? Tupeane updates ili nasi ikitukuta tujue nini la kufanya.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mpaka hapa Dr. Slaa kubali kuwa Lowassa ni ASSET

    Mtizamo wangu: Litizame anga na kisha tazama uliko kanyaga kisha jiulize-ILI KUWAHI KUFIKA YA KUPASA KUFANYA NINI! NI KUBADILIKA AU KUOTA MIZIZI?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada namna ya ku-edit post ya zamani

    Wadau naombeni maelekezo ya namna ya ku-edit mada JF niliyo ipost siku kadhaa zilizopita.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Bujonde ni kuzuri sana zaidi ya beach yeyote upande wa Kyela. Kila anaefika hushangaa kwanini watu hawakuwekeza Bujonde kama ilivyokuwa Matema. Mie nadhani ni kwasababu tu Wamisionari (Missionaries) waliwahi kufika huko na kujenga kanisa na hospitali ndo maana kukawahi kuchangamka na kufahamika...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu. Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa. Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Kwa yeyoye atakae fanikisha biashara hii atapata commission ya 1M
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Bei ni 30M lakini kwa alie serious kutakuwa na maongezi hadi tutafikia maelewamo. Panda hewani au text no. +255 688 494 920. Kwa alie dhani kuna mamba hajui kuwa mamba huishi mitoni na si ziwani. ziwani wanaweza kupita tu (tena usiku so kawaida kuwaona ziwani mchana) lkn so makazi yao hivyo...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Kipo Bujonde. Ukiwa bandari ya kiwira, unavuka mto kiwira tu na tayari unakuwa umefika eneo lenyewe. Amini usiamini, nizuri zaidi hata ya lile la Mwamyange. Any one who has ever been there, knows-it is the best of all beach along Lake Nyasa on the Kyela side.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

    Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu. Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa. Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone...
Back
Top Bottom