Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

Bei ni 30M lakini kwa alie serious kutakuwa na maongezi hadi tutafikia maelewamo. Panda hewani au text no. +255 688 494 920. Kwa alie dhani kuna mamba hajui kuwa mamba huishi mitoni na si ziwani. ziwani wanaweza kupita tu (tena usiku so kawaida kuwaona ziwani mchana) lkn so makazi yao hivyo asiwe na hofu ya mamba kabisa. Kuhusu barabara ipo japo so nzuuri saaana lkn hivi karibuni imekuwa upgraded kuwa ya mkoa na hivyo itajengwa vizuri na TANROADS.


Kwa yeyoye atakae fanikisha biashara hii atapata commission ya 1M
 
Aisee kumbe huko kwenu Bei Rahisi kweli.
Yaani ukubwa huo kwa bei namna hiyo.
Mjanja akinunua atakula pesa nzuri kweli,maana Miaka ya 90 Zanzibar ilikuwa kama hivyo ila kwa Sasa kiwanja kama hicho unaanzia 400m kwenda juu hadi 700m na zaidi

Nakushauri Edit Tangazo lako,kwa kuweka Bei.
Maana inachukua muda mtu ku trace bei
 
Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu.

Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa.

Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone na Malawi. ziwa linaonekana hadi mwisho wa upeo wa macho yako.

Kuna miti ya asili na ya kupandwa kwa ajili ya kupunguza upepo na kivuli.

Kuna apartment ambayo bado tu finishing. Kipo kilomita 15 tu toka kyela mjini ukilinganisha na Matema beach ambayo ipo zaidi ya kilomita 40 toka kyela mjini.

Kiwanja kinafaa sana kwa hotel au makazi ya kifahari. Tuwasiliane kwa namba hii +255 688 494 920.

View attachment 287189 View attachment 287190 View attachment 287191

Bei ni 30M lakini kwa alie serious kutakuwa na maongezi hadi tutafikia maelewamo. Panda hewani au text no. +255 688 494 920. Kwa alie dhani kuna mamba hajui kuwa mamba huishi mitoni na si ziwani. ziwani wanaweza kupita tu (tena usiku so kawaida kuwaona ziwani mchana) lkn so makazi yao hivyo asiwe na hofu ya mamba kabisa. Kuhusu barabara ipo japo so nzuuri saaana lkn hivi karibuni imekuwa upgraded kuwa ya mkoa na hivyo itajengwa vizuri na TANROADS.

Kwa yeyoye atakae fanikisha biashara hii atapata commission ya 1M
 
Wewe utakuwa unaongea ukiwa na lako jambo,..labda utakuwa mdau wa matema beach na hautaki beach ya ngonga/mwamnyange iendelee-....that beach is more than wonderful i,e a place to be while in kyela.
Kwani Matema beach ipo wapi ?si ni Kyela,sasa wewe unataka nisifie uongo ,niwe na jambo lipi tena mtu kusema ukweli imekuwa nongwa,na nimesema Matema imejaa sasa huko kuipigia debe Matema Beach kunatoka wapi hata mwenyewe unaelewa kuwa Ngonga Beach haiifikii Matema Beach kwa mandhari,na uniambie kama si kweli ngonga beach imejaa mchanga ,haina sehemu ya kuogeea kwani kinani kifupi ,hata bata hazami,na useme kama ni uongo kama hiyo beach sio chafu kutokana na mto Nsesi,Watanzania tuwe wakweli tusipende kuwa waongo eti tu kwa ajili ya kufanikisha mambo ,hata urembe au ukanushe vipi ukweli unabakia palepale,utawadanganya wasioijua Ngonga na Matema .
 
Bujonde ni kuzuri sana zaidi ya beach yeyote upande wa Kyela. Kila anaefika hushangaa kwanini watu hawakuwekeza Bujonde kama ilivyokuwa Matema. Mie nadhani ni kwasababu tu Wamisionari (Missionaries) waliwahi kufika huko na kujenga kanisa na hospitali ndo maana kukawahi kuchangamka na kufahamika hadi kuvutia wawekezaji. Bujonde haina kina kirefu cha ghafla,yaani kina chake humruhusu kila mtu kufurahia kuogelea kadri apendavyo. Hakuna tope wala vifusi vya mchanga. Maji yake ni masafi hayana tope. View yake ya ziwa ni yaupekee. Kushoto unaiona milima ya Livingstone, kulia kwako unaona vilima vya Malawi na mwanga wa taa za Kalonga wakati wa usiku wakati mbele yako (kati) unaona maji hadi mwisho wa upeo wa macho yako. KARIBUNI BUJONDE MJIONEE WENYEWE.
 
Back
Top Bottom