Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

Kiwanja cha Beach Ziwa Nyasa kinauzwa

kakanadada

Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
15
Reaction score
1
Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu.

Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa.

Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone na Malawi. ziwa linaonekana hadi mwisho wa upeo wa macho yako.

Kuna miti ya asili na ya kupandwa kwa ajili ya kupunguza upepo na kivuli.

Kuna apartment ambayo bado tu finishing. Kipo kilomita 15 tu toka kyela mjini ukilinganisha na Matema beach ambayo ipo zaidi ya kilomita 40 toka kyela mjini.

Kiwanja kinafaa sana kwa hotel au makazi ya kifahari. Tuwasiliane kwa namba hii +255 688 494 920.

AD PIC SEPT.jpg PIC 3.jpg PIC 2.jpg
 
Haya sasa,kazi hiyo.
Weka Bei.Nimependa Picha zako zipo vizuri sana.
Na hasa hiyo Sunset yake ndio mwake hasaaa
 
Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu.

Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa.

Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone na Malawi. ziwa linaonekana hadi mwisho wa upeo wa macho yako.

Kuna miti ya asili na ya kupandwa kwa ajili ya kupunguza upepo na kivuli.

Kuna apartment ambayo bado tu finishing. Kipo kilomita 15 tu toka kyela mjini ukilinganisha na Matema beach ambayo ipo zaidi ya kilomita 40 toka kyela mjini.

Kiwanja kinafaa sana kwa hotel au makazi ya kifahari. Tuwasiliane kwa namba hii +255 688 494 920.

View attachment 287189 View attachment 287190 View attachment 287191

Umetutajia Vitu Vyote Mkuu ILA Hujatuambia Mpaka Sasa Kuna Mamba Wangapi Ukijumlisha Na Wale Waliozaliwa Juzi Kati Ili Ikiwezekana Tujiandae Kisaikolojia.
 
Kiwanja kinauzwa bagamoyo ni 5 acres beach plot any person interested PM inahusika bei ni 1.5 B
For rental purposes tunaweza kuongea pia
 
Kiwanja chako kipo upande upi???

Matema au Itungi??
Mkuu Itungi hakuna beach ya kujenga nadhani ni Ngonga Beach kwa akina Mwamunyange,kusema ukweli kwa ziwa Nyasa upande wa Kyela beach ni moja tu nayo ni Matema Beach ila shida ni kuwa Matema Beach yote imechukuliwa na vigogo na wawekezaji,beach ya Ngonga ni chafu na imejaa mchanga na pia matope kutoka mto Nsesi,halafu hadi kufika huko wakati wa masika inakuwa shida
 
Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu.

Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuogelea kwa usalama kabisa.

Kina view nzuri za safu za milima ya Livingstone na Malawi. ziwa linaonekana hadi mwisho wa upeo wa macho yako.

Kuna miti ya asili na ya kupandwa kwa ajili ya kupunguza upepo na kivuli.

Kuna apartment ambayo bado tu finishing. Kipo kilomita 15 tu toka kyela mjini ukilinganisha na Matema beach ambayo ipo zaidi ya kilomita 40 toka kyela mjini.

Kiwanja kinafaa sana kwa hotel au makazi ya kifahari. Tuwasiliane kwa namba hii +255 688 494 920.

View attachment 287189 View attachment 287190 View attachment 287191


Hilo eneo unalotaka kuuza ni la Mzee Masenyela-nimechunga sana ng'ombe hapo na akina Kamili,Kapina....ahahahahahaaaaaaaa..itakuwa ngonga hiyo-right..?
 
Mkuu Itungi hakuna beach ya kujenga nadhani ni Ngonga Beach kwa akina Mwamunyange,kusema ukweli kwa ziwa Nyasa upande wa Kyela beach ni moja tu nayo ni Matema Beach ila shida ni kuwa Matema Beach yote imechukuliwa na vigogo na wawekezaji,beach ya Ngonga ni chafu na imejaa mchanga na pia matope kutoka mto Nsesi,halafu hadi kufika huko wakati wa masika inakuwa shida

Wewe utakuwa unaongea ukiwa na lako jambo,..labda utakuwa mdau wa matema beach na hautaki beach ya ngonga/mwamnyange iendelee-....that beach is more than wonderful i,e a place to be while in kyela.
 
Kiwanja kinauzwa bagamoyo ni 5 acres beach plot any person interested PM inahusika bei ni 1.5 B
For rental purposes tunaweza kuongea pia

Acha umalaya wewe,uliona kazi gani kufungua thread yako uweke tangazo lako?
 
Une ngapamanya mkamu, linga ngubhuka ku kyela u mwezi wa 10, loli lazima nikapakete.

Buka kalumbu,..panunu fijo,nali huko umwesi ugwa buhano,...kipepo kinunu fijo-promise to go back again next year.
 
Kili ku-Ngonga ku-kipepo ikya Mwamnyange,....its real fabulous place.

Kipo Bujonde. Ukiwa bandari ya kiwira, unavuka mto kiwira tu na tayari unakuwa umefika eneo lenyewe. Amini usiamini, nizuri zaidi hata ya lile la Mwamyange. Any one who has ever been there, knows-it is the best of all beach along Lake Nyasa on the Kyela side.
 
Kipo Bujonde. Ukiwa bandari ya kiwira, unavuka mto kiwira tu na tayari unakuwa umefika eneo lenyewe. Amini usiamini, nizuri zaidi hata ya lile la Mwamyange. Any one who has ever been there, knows-it is the best of all beach along Lake Nyasa on the Kyela side.

Noted...
 
Bei ni 30M lakini kwa alie serious kutakuwa na maongezi hadi tutafikia maelewamo. Panda hewani au text no. +255 688 494 920. Kwa alie dhani kuna mamba hajui kuwa mamba huishi mitoni na si ziwani. ziwani wanaweza kupita tu (tena usiku so kawaida kuwaona ziwani mchana) lkn so makazi yao hivyo asiwe na hofu ya mamba kabisa. Kuhusu barabara ipo japo so nzuuri saaana lkn hivi karibuni imekuwa upgraded kuwa ya mkoa na hivyo itajengwa vizuri na TANROADS.
 
Back
Top Bottom