Siku moja Tangu Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya viwanda na Biashara kusomwa Bungeni,Ni siku hiyo hiyo ndio Wizara ya viwanda kupitia chuo chao cha CBE,Kilitoa Barua kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na pili waliokuwa wakidhaminiwa na WIZARA HIYO kuwa kimesitisha UDHAMINI WAO KWA SABABU WIZARA HAINA...
Nimelazimika kuomba Cv ya huyu Ahmedi kaimu mkuu wa chuo cha CBE,Mimi si mtofautishi sana kiutendaji na Prof Mlacha.
Sielewi hawa jamaa Network zao kwenye SERIKALI ndo vinavyowapa kiburi.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Nimefatilia Muda mrefu sana na kubaini kuwa ni karibu Bank zote hazina vyoo vya wateja.
Kwanini?
---
---
---
---
===
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU
---
-----
---
---
---
MASWALI NA MAJIBU YAULIZWAYO MARA KWA MARA HIGHER LEARNING STUDENTS SUPPORTING FUND (HLSSF).
MFUKO WA KUSAIDIA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU NCHINI.
MASWALI NA MAJIBU YA MASWALA MBALIMBALI YANAYOIHUSU HLSSF...
Jamani hodi hodi..? Leo napenda mnieleweshe kwani Usomaji wa Majira ya Saa kwa ki inglish uko hivi..
Saa 1:00 asubuh
English ni 7 :00 am
Saa 2:00 Asbh
Englsh ni 8:00 am
Huu ukaririshwaji aliuleta nani? wa saa 1 kiswahili,7 kiobama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.