Natoa shukrani zangu kwa wanaJF wote waliotoa ushauri ktk hili nitaufanyia kazi ila nina historia ndefu na ya kuhuzunisha sn naumia sn ninapoikumbuka na ninapomuona mwanangu machoz yananitoka kwa kile ambacho mama yake amemfanyia. Nipatapo nafasi nitaiandika japo kwa ufupi ndipo mtanielewa kwann...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.