miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
MIE BONGE NYANYA :teeth:..........ILA ENDELEA KUTAFUTA UTAMPATA TU
NASIKITIKA KUIKOSA HII NAFASI
usisikitike mpenzi mi naendelea na ile diet baada ya wiki mbili namPM
MIE BONGE NYANYA :teeth:..........ILA ENDELEA KUTAFUTA UTAMPATA TU
NASIKITIKA KUIKOSA HII NAFASI
na ninaifanyia kazi hasa wiki 2 tu jamaa anapata PM
Sasa punguza wivu..swala la wivu inabidi ulifanyie kazi ili Mapenzi yaende poa..
Kila kitu kinadanganya...sasa ni wew tu jinsi ya kupambana nazo
usisikitike mpenzi mi naendelea na ile diet baada ya wiki mbili namPM
thanks , ila akijitokeza kimbaumbau yoyote humu ninaye walah!
hapana mkuu , watakuwa wana raha yao zaidi ya kugongana mifupa.......
wewe unapendelea matukunyema nini?
loh ngoja nikazane na diet nakosa nafasi hiii.. loh
ah wapi nafanya kila njia nifanikiwe
Sasa utawabadilisha wangapi..?
Kila mtu ana testa yake..hyo mifupa yey ndo inampa raha..
kazi ipo,ila bora kidari kina mifupa inayotafunika na maduta kidogo sasa hiyo mifupa ya nyonga sijui itakuwaje
vimbau mbau wote
Kazi kwelikweli..
Nenda kajaribu utapata jibu...kwanini tuandikie mate..
aya rafiki kuanzia leo sili
sili ya nini tena Miss Chagga