Nimefatilia sana huu Uzi pia umenifanya nifatilie mambo mengi sana kuhusu company.. Mimi ni mfatiliaji mzuri sbb napenda kusoma na kusikiliza kuliko kuongea ila nimeamua kuachana kabisa na hizi mambo zinavuruga akili baada ya kusoma Kwa kina waraka wa Mzee wa saa za ukombozi..ambao nadhani ndo...
Watu wa vijijini bhana!! Keshakwambia yeye ni graduate ule muda wa kuzunguka na vyeti na Hana sponser na ameomba tu kudhaminiwa Kodi Kwa muda.. akaona ni Bora kukodi guta kuingia kazini then we unamlinganisha na kikundi kilichojisajili ndo kikaomba kazi
Hiyo laana itamtafuna milele sisi aged kidogo tumeona wengi wa hivyo Huwa Hawa settle kabisa anaweza akashika Hela nyingi tu na still akawa maskini na kuhisi analogwa kumbe wap
Huko wataalam hawapataki ndo maana afisa ardhi yeye ndo surveyor yeye ndo mipango miji na yeye ndo Mkuu wa idara..ukienda kichwakichwa unaweza kufa huko Sasa Cha kufia nini wakati Engineering survey inalipa hata hapa town kidogo cadastral ndo imeyumba
Hivi vizingiti tushaviruka sana. Kwa umri huu nadhani vimeshapita Sasa. Binafsi nime experience zaido ya mara 6..Tena wengine Hana hata uhusiano Yan ni serious issue.. na kigezo ni Mimi nahitaji mtoto tu kutoka kwako mengine nayamudu ila Kila nikimfukiria huyu Mama nayashinda ya dunia
Huyo mwanamke Hana shida kwanza umekiri alikua anakupenda sana na ww hukua na future naye hivyo ukamchana kiroho safi akaapa atakulipa Kwa maumivu makali zaidi akakujaza ukajaa ukapata stahiki yako..ungekua smart ungeshtuka eti anataka copy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.