Recent content by KakaKiiza

  1. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Sasa wewe kwa ujingaz wako Nevy ni Mameli Makubwa makubwa siyo? Hebu tuondolee udunduka wako hapa
  2. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Siwezi kupoteza muda wangu kwa kusikiliza vihoja vya Tume ya uchunguzi! Hii repoti inaongeza hasira kwa wahanga

    Halafu huyu mzee namuheshimu sana ila nimefika mahali sioni pakuacha kumsema katika historia yangu na vizazi vijavyo najua vitabu vitaandika
  3. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Hivi jamani kuna watu bado wanatumia decoders kuangalia vipindi?

    Ongea local contents tunaangalia wapi maana ulizozitaja amazon na Netflix ni movies tunataka za hapa na Africa
  4. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Siwezi kupoteza muda wangu kwa kusikiliza vihoja vya Tume ya uchunguzi! Hii repoti inaongeza hasira kwa wahanga

    Siwezi kupoteza muda wangu kwa kusikiliza vihoja vya Tume ya uchunguzi! Hii repoti inaongeza hasira kwa wahanga. Ukiisikiliza kwa makini na zile key points inaoneka ilikuwa imeshiba,ila ukija kusikiliza unakuta kuna uhariri wa ripoti hivyo mimi nitakutana nayo katika magazeti au katika...
  5. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Yani sikutegemea basement eti watu wanajiteka??Eti serikali za mutaa kuwanyima watu haki? Ndo ilisababisha maandamnao ni usanii wameshindwa kutaja jeshi la polisi ni chanzo cha ukandamizaji wa haki! Sidhani hii tume kama ni mwarobaini wa hiki kilichotokea tatehe 29/10 hii itaendelea kulitafuna taifa
  6. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Je, kuna sababu ya kutungwa sheria kali kwa wanaotengeneza bidhaa feki hasa bidhaa za vyakula na vinywaji wajulikane kama wauaji?

    Nilimsikia Waziri Mkumbo akiongelea utitiri wa mamlaka akahoji TBS kazi yake akasema iliwapa shida kuondoa huo utitiri wa mamlaka za udhibiti kilichopo ni kuiwezesha TBS
  7. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Je, kuna sababu ya kutungwa sheria kali kwa wanaotengeneza bidhaa feki hasa bidhaa za vyakula na vinywaji wajulikane kama wauaji?

    Wana bodies kasi ya bidhaa feki imekuwa kubwa na watengenezaji hawajali tena afya za watanzania kabisa,na bidhaa hatarishi kwa afraid,zikiwa na kemikali hatarishi,hambazo zimeua vijana wengibkwa sababu ya Figo vitu kama hivyo,je niwakati sahihi wa kutungwa sheria kali sana hata ikiwezekana...
  8. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Je kuhusu Biden Mkuu ikoje??
  9. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Umekaa upande gani sikuoni
  10. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Leo siku yangu itakuwa njema sana habari za wewe! Njoo chemba tuongee
  11. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Kwanini Israel haiwapendi wakristo wakati wenyewe wanaipenda Israel?

    Nimeshindwa kuelewa Wakristu wengi hata baadhi ya madhehebu wamekuwa wakinasibisha Israel kama njia yakwenda kwa Mungu hadi wengine Wameweka Bendera za Israel katika makanisa yao wengine wanatembe na bendera katika magari yao! Swali nini kinawafanya waipende Israel wakati wayahudi walimtesa...
  12. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Nawasalimu Kwajina la JF! Naweka kiulizo kifupi japo hili swala limeulizwa sana lakini sioni jibu lilolkuwa wazi, Swali nini kipo nyuma ya Uvumi wa mitandao ya kijamii Hasa ya Serikali ya Israel kuhusu uvumi wa Kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahau? Kwanini Nguvu kubwa imekuwa...
  13. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

    What if Mambo yamemuelea??nayay anatafuta jinsi yakuyatua? anyway Both to score aka GG
Back
Top Bottom