Recent content by KakaKiiza

  1. KakaKiiza

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Je kuhusu Biden Mkuu ikoje??
  2. KakaKiiza

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Umekaa upande gani sikuoni
  3. KakaKiiza

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Leo siku yangu itakuwa njema sana habari za wewe! Njoo chemba tuongee
  4. KakaKiiza

    Kwanini Israel haiwapendi wakristo wakati wenyewe wanaipenda Israel?

    Nimeshindwa kuelewa Wakristu wengi hata baadhi ya madhehebu wamekuwa wakinasibisha Israel kama njia yakwenda kwa Mungu hadi wengine Wameweka Bendera za Israel katika makanisa yao wengine wanatembe na bendera katika magari yao! Swali nini kinawafanya waipende Israel wakati wayahudi walimtesa...
  5. KakaKiiza

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Nawasalimu Kwajina la JF! Naweka kiulizo kifupi japo hili swala limeulizwa sana lakini sioni jibu lilolkuwa wazi, Swali nini kipo nyuma ya Uvumi wa mitandao ya kijamii Hasa ya Serikali ya Israel kuhusu uvumi wa Kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahau? Kwanini Nguvu kubwa imekuwa...
  6. KakaKiiza

    GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

    What if Mambo yamemuelea??nayay anatafuta jinsi yakuyatua? anyway Both to score aka GG
  7. KakaKiiza

    Polepole hawezi kukemea utekaji na mambo mengine ya kihuni ya serikali ya sita. Maana yote yanayotendeka sasa yalitendeka pia 2015-2021

    Nilivyosikiliza nimeona ni uji au buluga,kwa wale tuliokunywa buluga chekechea enzi ya mwalimu!. Nilichokisoma ni muhini na wahuni wenzake wamemtanguliza kwakuwa hawakupata nafasi za kuchukua fomu ya kugombea urais 2025,! ukiona hivyo ndo wanapumua! Anaongelea kutekwa amesahau viroba vya mto...
  8. KakaKiiza

    GE2025 Kwa binafsi yangu, Makonda hatufai Arusha mjini

    Ndo mnaye sasa hawezi ondoka hapo na anakuja kuwa waziri wa maliasili na utalii! Apige mounga vizuri
  9. KakaKiiza

    CCM imvue Uanachama na kumfukuza kabisa Chamani Askofu Gwajima haraka sana bila kuchelewa

    Umeandika matakataka yote muda umepata wapi? unataka kusema nini?wewe tangu ccm,tanu vinakuwepo Rais anapatikana bila kushindanishwa? Hamtaki kuchalengiwa ndiyo shida! Wanaojitambua huwezi kuwaburuza hawa siyo ponjoro wa kinondoni au wa nkasi
  10. KakaKiiza

    GE2025 Nani kaliwa kichwa huko CCM?

    Tayari nasikia hawa kwisha habari yao!
  11. KakaKiiza

    GE2025 Tundu Lissu: Ulimwengu unajua hakuna Kesi bali ni Siasa, nimepewa Kesi ili wasisumbuliwe na No Reforms, No Election

    Kesi ya Lisu inalindima huku Mawakili wa serikali wanapuyanga aibu naona Mimi https://www.youtube.com/live/DXtzA0-6kr8?si=FqAiDQ-6fmxRP3UU
  12. KakaKiiza

    Yanayotokea Simba kwa sasa niliyatabiri miaka 3 iliyopita, Simba iliwekeza kwenye propaganda na sio uhalisia wa vitendo!

    Halafu wakafika fainali za shirikisho? Ya pili katika ligi wewe mchambuzi utumbo huna chochote unachojua katika mpira sema ni mwepesi wa kuropoka!
Back
Top Bottom