Recent content by KakaKiiza

  1. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Na hili kundi la Let me Seattle now?
  2. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Hivi bado mnatumia Kikuu kuagiza bidhaa?

    Sahihi niliagiza smartwatch ilibidi nicheke maana hata mwanangu naona akuipenda ipo chumbani mwao inazagaa na hapo walinipiga 35k katika picha ilikuwa bonge la saa! Siku hizi natumia Ali Express katika manunuzi yangu kutoka china.
  3. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wanaume wenye maisha duni ya kawaida wanajali sana bikira?

    Inaonekana ujawahi kukutana na Bikra uwezi kuelewa!haya mambo
  4. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Namuona Paul Christian Makonda akiwa Makamo wa Rais!

    Mshauri wa Rais Siasa yupo katika chungu!
  5. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Namuona Paul Christian Makonda akiwa Makamo wa Rais!

    Kutokana na kauli za nyuma nidhahiri Paul Christian Makonda akiwa Makamo wa Rais wa JMT. Hii aina ubishi na aina comeback! Ikishindikana Razaro Nyarandu anaweza akaukwa. Over.
  6. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na CHADEMA hamtaweza kukwepa liability kwa uchochezi na uhaini wa October 29

    Akili yako ipo katika yai huwezi kuongea kitu chenye mnyumbuliko unaongozwa na hisia.
  7. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Nchi hii ni yetu sote! Tunaendeshwa kwa mujibu wa sheria! Sasa kama unaishi katika fikra za Mwenyekiti utagombana na wengi sana,hasa kauri yako kusema asitoke'Yeye ndiye aliyeratibu maafa' Wakati huyo unayemtaja hakuwepo saga lote linatokea katika tume uliwahi kusikia jina lake??Je Majiaji wewe...
  8. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Hapa nimekupa njia mbadala ya kukuelimisha maana mimi by Professional ni Mwalimu kuna njia nyingi za kuelewesha mtu ambaye uwezo wake wakufiri unatumia Petium 2 na floppy disck hii ndiyo namna ya kukuelewesha sema ndiyo kama umenielewa!
  9. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya Tanzania: Je, Tatizo Liko Kwenye Katiba au Kwenye Watu Wanaoiendesha?

    Katiba ni mbovu haina meno ya kuwajibisha watendaji wakuu!
  10. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Unapingana na sheria? Utakuwa ni Mwendawazimu unatakiwa kuwahishwa Mirembe!, maana yeye angetamani hata leo atoke!! ila sheria airuhusu hivyo,sheria kitafsiriwa vyema atatoka huna chakufanya!.Nevema katika adhira ukaficha upumbavu ukabaki na ujinga utaweza kuelimishwa na ukaelimika,ila upumbavu...
  11. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Toyota landcruiser 1HZ hard top, LX station wagon, double cabin inahitajika!

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza TOYOTA LANDCRUISER 1HZ HARD TOP, LX STATION WAGON, DOUBLE CABIN INAHITAJIKA! Sharti Isiwe imelipiwa ushuru. Isiwe ni gari za mnada kutoka katika NGos au Serikalini Njoo na bei yako Tukutane DM Punguza nyororo Soma vizuri uelewe bango.
  12. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Una stress kunywa maji
  13. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Je Polisi mmenyosha mikono??Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?

    Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?? Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
  14. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Waarabu ni wajinga wananuliwa kirahisi sana
Back
Top Bottom