Kama kichwa cha habari kinavyojieleza TOYOTA LANDCRUISER 1HZ HARD TOP, LX STATION WAGON, DOUBLE CABIN INAHITAJIKA!
Sharti
Isiwe imelipiwa ushuru.
Isiwe ni gari za mnada kutoka katika NGos au Serikalini
Njoo na bei yako
Tukutane DM
Punguza nyororo
Soma vizuri uelewe bango.
Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu??
Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
Swali zuri sana! Iran alikuwa kibaraka wa US lakini alipogeuka na kusoma mchezo akaanza kuwekewa zengwe na mabwanyenye wakisema hatakiwi kumiliki Nyuke,kwani nani anatakiwa kumiliki nyuke?? kama nchi zinajiita wenye ustaarabu waliwahi kuchoma nchi na atomic bomb na leo wapo na nyuke aliwekewa...
Mimi bila kupepesa macho nipo upande wa IRAN,Japo watu wamegawanyika katika munktadha wa kidini wakirsto wanapendelea ISRAEL Wakidhani ni Nchi Takatifu lakini ni Shetani na hatambui wa Roma!
Pia Mimi sipendi watu wanaoonewa bila sababu mfano Vita ya Urusi ns Ukraine mimi nipo URUSI,kwanini...
Napenda siasa ila sioni mwendelezo wa kuwa mwanasiasa kutokana na mazingira ya siasa Tanzania kuwa ya uadui,ukiwa katika siasa za upinzani Tanzania nivigumu kutimiza ndoto! Kwani uonekena wewe ni tishio katika Serikali.
Kwanini tumefika hapa ni kwasababu ya Chama kinachotawala kutokuwa na...
Wana Jamvi Heshima yenu.
Mimi nimekuwa nikipenda kutazama station za Television hasa hizi za kulipia za Ndani ya Nchi na za Nje ya Nchi nimegundua kuna utofauti mkubwa sana ,pia nikaja kuona Mamlaka zinzosimamia zimebweteka na kama hazijui majukumu yao.
Nianze na Television Station za Ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.