Recent content by KakaKiiza

  1. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Toyota landcruiser 1HZ hard top, LX station wagon, double cabin inahitajika!

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza TOYOTA LANDCRUISER 1HZ HARD TOP, LX STATION WAGON, DOUBLE CABIN INAHITAJIKA! Sharti Isiwe imelipiwa ushuru. Isiwe ni gari za mnada kutoka katika NGos au Serikalini Njoo na bei yako Tukutane DM Punguza nyororo Soma vizuri uelewe bango.
  2. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Una stress kunywa maji
  3. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Je Polisi mmenyosha mikono??Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?

    Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?? Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
  4. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Waarabu ni wajinga wananuliwa kirahisi sana
  5. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Mimi ni Roman catholic Parokia ya Mt Asiz ila nipo na wapemba wa Iran
  6. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Vita ya Congo nikama manayotaka kuzalisha hapa kwa uroho wa madaraka na mali.
  7. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Swali zuri sana! Iran alikuwa kibaraka wa US lakini alipogeuka na kusoma mchezo akaanza kuwekewa zengwe na mabwanyenye wakisema hatakiwi kumiliki Nyuke,kwani nani anatakiwa kumiliki nyuke?? kama nchi zinajiita wenye ustaarabu waliwahi kuchoma nchi na atomic bomb na leo wapo na nyuke aliwekewa...
  8. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Nimewaona Ma RAIS 5 Baada Ya Rais Samia. Wote Wamepikwa na Wamepitia Mikono Mwake ,Uwezo Wao na Uzalendo Wao Ni Mkubwa Sanaa Kwa Taifa letu. Tuwaombee

    Mleta Uzi nadhani mpaka hapa autarudia na ukirudia upuuzi huu nitaamini kichwani mwako kumeja mapicha waliyoyatuma katika huzi wako!
  9. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Mimi bila kupepesa macho nipo upande wa IRAN,Japo watu wamegawanyika katika munktadha wa kidini wakirsto wanapendelea ISRAEL Wakidhani ni Nchi Takatifu lakini ni Shetani na hatambui wa Roma! Pia Mimi sipendi watu wanaoonewa bila sababu mfano Vita ya Urusi ns Ukraine mimi nipo URUSI,kwanini...
  10. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Kwanza wanatuchukuliaje hizi TV Station zilizopo nchini zipo kutupa burudani au ilimradi?

    Bora ya Azam maana hata ligi kuu na michezo ya magari utatizama siyo DSTV na ukenge wao na mamovie ya kitambo naona hata aliyenunua ni wa hovyo tu!
  11. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Bado una hamu ya kuendelea na siasa hapa Tanzania?

    Napenda siasa ila sioni mwendelezo wa kuwa mwanasiasa kutokana na mazingira ya siasa Tanzania kuwa ya uadui,ukiwa katika siasa za upinzani Tanzania nivigumu kutimiza ndoto! Kwani uonekena wewe ni tishio katika Serikali. Kwanini tumefika hapa ni kwasababu ya Chama kinachotawala kutokuwa na...
  12. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Kwanza wanatuchukuliaje hizi TV Station zilizopo nchini zipo kutupa burudani au ilimradi?

    Wana Jamvi Heshima yenu. Mimi nimekuwa nikipenda kutazama station za Television hasa hizi za kulipia za Ndani ya Nchi na za Nje ya Nchi nimegundua kuna utofauti mkubwa sana ,pia nikaja kuona Mamlaka zinzosimamia zimebweteka na kama hazijui majukumu yao. Nianze na Television Station za Ndani...
  13. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Hivi wale wadada wa enzi ile JF wako wapi? Hebu watag hapa waje tujikumbushe nyuma kidogo

    Usipate tabu angalia siku ya kujoin JF kama wewe ume join Aug 14, 2016 . Anzia hapo kujua enzi.
Back
Top Bottom