Siwezi kupoteza muda wangu kwa kusikiliza vihoja vya Tume ya uchunguzi!
Hii repoti inaongeza hasira kwa wahanga. Ukiisikiliza kwa makini na zile key points inaoneka ilikuwa imeshiba,ila ukija kusikiliza unakuta kuna uhariri wa ripoti hivyo mimi nitakutana nayo katika magazeti au katika...
Yani sikutegemea basement eti watu wanajiteka??Eti serikali za mutaa kuwanyima watu haki? Ndo ilisababisha maandamnao ni usanii wameshindwa kutaja jeshi la polisi ni chanzo cha ukandamizaji wa haki! Sidhani hii tume kama ni mwarobaini wa hiki kilichotokea tatehe 29/10 hii itaendelea kulitafuna taifa
Nilimsikia Waziri Mkumbo akiongelea utitiri wa mamlaka akahoji TBS kazi yake akasema iliwapa shida kuondoa huo utitiri wa mamlaka za udhibiti kilichopo ni kuiwezesha TBS
Wana bodies kasi ya bidhaa feki imekuwa kubwa na watengenezaji hawajali tena afya za watanzania kabisa,na bidhaa hatarishi kwa afraid,zikiwa na kemikali hatarishi,hambazo zimeua vijana wengibkwa sababu ya Figo vitu kama hivyo,je niwakati sahihi wa kutungwa sheria kali sana hata ikiwezekana...
Nimeshindwa kuelewa Wakristu wengi hata baadhi ya madhehebu wamekuwa wakinasibisha Israel kama njia yakwenda kwa Mungu hadi wengine Wameweka Bendera za Israel katika makanisa yao wengine wanatembe na bendera katika magari yao!
Swali nini kinawafanya waipende Israel wakati wayahudi walimtesa...
Nawasalimu Kwajina la JF!
Naweka kiulizo kifupi japo hili swala limeulizwa sana lakini sioni jibu lilolkuwa wazi,
Swali nini kipo nyuma ya Uvumi wa mitandao ya kijamii Hasa ya Serikali ya Israel kuhusu uvumi wa Kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahau? Kwanini Nguvu kubwa imekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.