Nimeshindwa kuelewa Wakristu wengi hata baadhi ya madhehebu wamekuwa wakinasibisha Israel kama njia yakwenda kwa Mungu hadi wengine Wameweka Bendera za Israel katika makanisa yao wengine wanatembe na bendera katika magari yao!
Swali nini kinawafanya waipende Israel wakati wayahudi walimtesa...
Nawasalimu Kwajina la JF!
Naweka kiulizo kifupi japo hili swala limeulizwa sana lakini sioni jibu lilolkuwa wazi,
Swali nini kipo nyuma ya Uvumi wa mitandao ya kijamii Hasa ya Serikali ya Israel kuhusu uvumi wa Kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahau? Kwanini Nguvu kubwa imekuwa...
Nilivyosikiliza nimeona ni uji au buluga,kwa wale tuliokunywa buluga chekechea enzi ya mwalimu!.
Nilichokisoma ni muhini na wahuni wenzake wamemtanguliza kwakuwa hawakupata nafasi za kuchukua fomu ya kugombea urais 2025,! ukiona hivyo ndo wanapumua! Anaongelea kutekwa amesahau viroba vya mto...
Umeandika matakataka yote muda umepata wapi? unataka kusema nini?wewe tangu ccm,tanu vinakuwepo Rais anapatikana bila kushindanishwa? Hamtaki kuchalengiwa ndiyo shida! Wanaojitambua huwezi kuwaburuza hawa siyo ponjoro wa kinondoni au wa nkasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.