Recent content by Kakadiba

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Duh! Zoo saizi imechoka niaje! Siku hizi nadhani ni shule ya kata, Zero za kufikia
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Duh Chem chem! Mi niliishi pale kwa Kamanga dukani opposite na Chemchem 2000- 2002 Bila shaka ulikuwa ukinunua Alizeti kwa yule bibi pale mlangoni hahahaha....
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gidion Mbuvi Sonko Aukwaa Usenetor Wa Jiji la Nairobi

    We lishe umesoma wapi, ungesoma kipindi cha Fast jet lazima ungechora Zombi,
  4. K

    JamiiForums Tanzania Malcolm X Audio Speeches

    Maximum respect
  5. K

    JamiiForums Tanzania Malcolm X Audio Speeches

    Man unaenda mbali saana, unamchanganya muhitaji, kila mmoja alikuwa na mchango wake kulingana na wakati alio ishi, Mchango Mr X nao ni mkubwa pia. Hata Bob Marley unae mtaja alipata kuwa maarufu zaidi alipojifungia na kuchimba library ya Mr X. Hapo ndipo ilibozaliwa Survival album.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nukuu za Hugo Chavez

    Weweeeeee!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Malcolm X Audio Speeches

    Ndugu. Dunia ya leo sio choyo kiasi kile, nyingi zinapatikana Youtube, za Luis Faraghan pia zipo, sio audio tu hata video, check utazipata.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kituo cha mafunzo ya mbwa

    Wazo la ukweli ila kunakazi ya kuwaelimisha wengi umuhimu wa mbwa, mi niliplan dogs academy,
Back
Top Bottom