Kituo cha mafunzo ya mbwa

Kituo cha mafunzo ya mbwa

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,317
Wakuu,
Nahitaji kufungua dog training center(DTC).Ila nataka kwanza kusomea elimu hiyo.Naweza kusoma kwa njia ya masafa?
 
Wakuu,
Nahitaji kufungua dog training center(DTC).Ila nataka kwanza kusomea elimu hiyo.Naweza kusoma kwa njia ya masafa?
kama Upo Serious ni PM nikuunganishe na mzee mmoja aleyekuwa mwalimu wa Mbwa wa police,Huwa nna mtumiaga kuwafundisha mbwa wa rafiki zangu.Yupo anaishi hapa Dar.Au unaweza anzisha hiyo training center then yeye akaja kuwatrain hao mbwa,huku wewe unasoma.
utakuwa umefanya la maana sana,kwani mbwa wanahitajika sana for security and blind assistance
 
Nimefurahishwa na wazo lako kwani wanyama hawa wanamsaada mkumbwa katika ulinzi. mimi siwezi kukusaidia kuhusu mwalimu ila jitahidi utafanikiwa.
 
kama Upo Serious ni PM nikuunganishe na mzee mmoja aleyekuwa mwalimu wa Mbwa wa police,Huwa nna mtumiaga kuwafundisha mbwa wa rafiki zangu.Yupo anaishi hapa Dar.Au unaweza anzisha hiyo training center then yeye akaja kuwatrain hao mbwa,huku wewe unasoma.
utakuwa umefanya la maana sana,kwani mbwa wanahitajika sana for security and blind assistance

Mkuu nipm namba zako nikucheki nikiwa tayari na ukuta na mabanda kwangu,nahitaki mbwa desperately.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Bwana wewe naona kama kudanganywa hivi!Nyi mlisikia wapi mbwa wanasoma?Pastor Achachanda naona huu uchizi sasa kha
 
Wakuu,
Nahitaji kufungua dog training center(DTC).Ila nataka kwanza kusomea elimu hiyo.Naweza kusoma kwa njia ya masafa?


Mimi ni mtaalamu wa mafunzo ya mbwa ya aina zote. Kama unataka kupata elimu hii na kufungua kituo, basi nitafute nitakusaidia. 0756250107.
 
Mkuu uko wapi? Na je ukishanifunza nitapata cheti kinachonipa mamlaka ya kufungua darasa?@samwelmalila
 
Chief Kwani Ni Mafunzo Gani Hayo Anayopewa Mbwa?
Ahsante
Jigo
 
Back
Top Bottom