Recent content by kaka_kuona

  1. K

    Hivi ukiulizwa kwanini unaoa kwa karne hii utajibu nini?

    Makofi matatu tafadhari kwa mtoa mada Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Jamaa Kaoa PIZZA kuepukana na usaliti wa wanawake

    Hamorapa wa ulaya anatafuta kiki.nonsense
  3. K

    Ni umri upi sahihi kwa mwanaume kuoa?

    Wasio oa wanafuraha zaidi kuliko ealio oa
  4. K

    Jinsi maisha wa wadada wapumbavu yanavyokuwa

    Hapo kweny 35 to 40 wengi ndio wale utawakuta wamejazana kwa Mwamposa wanadai wamefungwa kuolewa
  5. K

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo wa vinega cjui unaitwaje ila wanaimba Zingu zingu zingua nikuzingue ...wee k*ma
  6. K

    Kwa wale mnaotafuta kazi, soma uzi huu

    Kwahiyo hao wakurugenzi walipokuwa kwenye Entry level waliajiriwa bila kuzingatia ufaulu katika vyeti vyao? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Kwa wale mnaotafuta kazi, soma uzi huu

    Huo mfano wa bro wako ulioutoa hapo juu wa mtu kumiliki ofisi zaidi ya moja sijaelewa unatoa funzo gani kwa sisi tunaotafuta kazi ili tuweze kufaulu interview?
  8. K

    Mkeo akiwa na bodaboda wake maalumu umekwisha

    Doctor maalum ni hatari zaidi
  9. K

    Ushauri please

    Mh! Naogopa hata kukushauri asije akaanza na mimi shumileta huyo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Uliza swali lolote kuhusiana na kusafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwa kutumia barabara

    Asante Mkuu. Na gharama ya work permit ikoje Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Uliza swali lolote kuhusiana na kusafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwa kutumia barabara

    Nashukuru sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Uliza swali lolote kuhusiana na kusafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwa kutumia barabara

    Vipi kazi za maofisini SA zinapatikana kwa makwerekwere? Mimi nina taaluma ya IT nataka nikajaribu kutafuta kwa madiba vipi ntatoboa? Wakuu wenye uzoefu ushauri wenu tafadhari Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Uliza swali lolote kuhusiana na kusafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwa kutumia barabara

    Kwa mfanyabiashara sawa.Ila kwa sisi wazamiaji bus ndio mpango mzima Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom