Uliza swali lolote kuhusiana na kusafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwa kutumia barabara

Kaka unapokuwa unasaka maisha usiogope kubaguliwa ili mradi mshahara unapata na rangi yako nyeusi hautaibadiri iwe nyeupe na waafrika wapo kote duniani. North West hakuna mishe za kazi kama majiji mengine. Huku wanaishi watu ambao wengi ni wafanyakazi ama wasiotaka purukushani yaani ni sehemu tulivu jirani kabisa na Botswana

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu.
 
Kule kuzaa ni mtaji...mtoto anapesa kila mwisho wa mwezi hadi atimize miaka 18, .. Bado wana misaada midog midog kwa wazaz wasiojiweza...wazee ata kama huna kazi kuna posho ya uzeeni kila mwezi hadi utakapokufa ...wanaishi kizungu..


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana...walishtuka bila kuzaa na huo ukimwi kule full kupukutika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani ...alafu wao ukimwi hauwatishi kabsaaaa...wenyew wanaweka wazi tu na dawa wanaenda kuchkua bila was kabsaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati bongo full kunyoosheana vidole...yaaan

Ila nimeamini ni vigumu kumjua mtu mwenye huu ugonjwa asee!

Juzi napeleka watoto clinic, namba nilizoziona pale kwenye kituo wala hata hawaoneshi kabisa, wawili wa mtaani kwetu yaani ni wako vizuri kabisa kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule hawana habari...na michezo michafu wanaanza wakiwa wadogo sana

Si watu wazima si watoto ni wagonjwa...
Kulikuwa kuna katoto kanapenda kuja kwangu kananiletea pilipili ya kurost kwenye kchupa cha dawa zlizoisha..

Knanambia mm kila cku nakunywa dawa nkimuuliza baba na doctor naumwa nn hawanambii.kalikuwa grade3.. Na dada yangu kafa mwaka jana ana miaka 8 ...nikachukua kikopo kusearch google nkakuta n ARV ..jaman niliona huruma lakin anaonekana kapata kwa wazazi wake..
Mambo haya bora yawaepuke watoto wapate watu wazima.

All in all hatupaswi kumnyooshea kidole mwenye maradhi..maana hakuna aliyependa.
Na tusitukane mamba kabla ya kuvuka mto...huwez kujua ukaletewa na mume au mke wako bila kujua ndani..
Wakati bongo full kunyoosheana vidole...yaaan

Ila nimeamini ni vigumu kumjua mtu mwenye huu ugonjwa asee!

Juzi napeleka watoto clinic, namba nilizoziona pale kwenye kituo wala hata hawaoneshi kabisa, wawili wa mtaani kwetu yaani ni wako vizuri kabisa kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kazi za maofisini SA zinapatikana kwa makwerekwere? Mimi nina taaluma ya IT nataka nikajaribu kutafuta kwa madiba vipi ntatoboa? Wakuu wenye uzoefu ushauri wenu tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
But ili usiwe stressed ukikosa ajira ni vizuri utoke na pesa kidogo ufanye biashara...

Mji kama joburg ata uuze pipi ela unapata kinachowafelisha weng ni maisha ya anasa tu na pombe na mademu..
Ila ukijua kujibana vizuri unatoboa

Kna mshikaj namjua anafanya biashar ya kawaida sn na anaswali swala tano uku bongo anajenga...ukiangalia biashara yake huwez amin..lakin kajiweka mbali na anasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But ili usiwe stressed ukikosa ajira ni vizuri utoke na pesa kidogo ufanye biashara...

Mji kama joburg ata uuze pipi ela unapata kinachowafelisha weng ni maisha ya anasa tu na pombe na mademu..
Ila ukijua kujibana vizuri unatoboa

Kna mshikaj namjua anafanya biashar ya kawaida sn na anaswali swala tano uku bongo anajenga...ukiangalia biashara yake huwez amin..lakin kajiweka mbali na anasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zuri mkuu na capital inawez kuanzia shingap ambayo anawez kuanzisha hat hiz biashar ndogo ndogo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatoa mpaka siku 90 inategemea na uliyemkuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini siku 90 zikiisha huwa unaweza ku extend muda wa kukaa sio kitu rahisi kupata work permit ya south africa unatakiwa uwe full documented, labda kwa study permit coz mambo ya shule. Mm kwa kifupi bongo sielewi mwaka huu lazima kieleweke.
 
But ili usiwe stressed ukikosa ajira ni vizuri utoke na pesa kidogo ufanye biashara...

Mji kama joburg ata uuze pipi ela unapata kinachowafelisha weng ni maisha ya anasa tu na pombe na mademu..
Ila ukijua kujibana vizuri unatoboa

Kna mshikaj namjua anafanya biashar ya kawaida sn na anaswali swala tano uku bongo anajenga...ukiangalia biashara yake huwez amin..lakin kajiweka mbali na anasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom