INAUZWA 45,000,000/=
Habari za leo, nyumba inauzwa ipo katika eneo zuri ambalo halijai maji , rahisi kufikika kwa gari. Bei ni 45,000,000/= kwa anayetaka nyumba mawasiliano ni 0683949198 muda wowote.
Mawasiliano
0683949198
Kuna ukweli katika hili la mtoa Uzi.
Jambo la msingi umpende au mpendane kweli na kuheshimiana , wanawake wana nguvu ya ajabu sana , ukiaa naye na kuishi naye vizuri lazima mufanikiwe.
Naunga mkono hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yako huyo dada yako naye kaamua kukunywea pombe ili kuuvunja ukaka wenu na udada wenu, kwahiyo wewe wala usitumie nguvu nyingi kuuondoa huo ukaka wakati tayari umeshajiseti wenyewe huo mtego.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu tafuta mtu dini yako, usijiingize kwenye matatizo kwenye maisha yako.
;Kamwe usichanganye imani kwenye mahusiano nikujidanganya.
Usijesema hatukukushauri....
Wise E, Mwanamke yeyote anayetumia kilevi ni rahisi sana kuliwa , hilo halina ubishi kabisa.
Na akishakuwa mnywaji mzoefu duh ni hasara kabisa, atakuwa analiwa na kila mwenye nia.
Kaka oa kama mnaendana, usiangalie, mwilini , utadanganyika, angalia uzuri wa ndani , je anamcha MUNGU,? Ana hofu ya MUNGU? Moyoni mwake kimejaa vitu gani? Je ni msafi?
Unajua umasikini ni kujitakia. Lakini duniani MUNGU ametuumba sawa kwamba tuna akili na utashi.
Sasa kila mtu amepewa nafasi ya...
Habari majukumu ndugu zangu,
Kwa mwenye ufahamu juu ya nyumba zinazouzwa za NSSF,PPF PSPF chanika naomba anijuze.
Nataka kununua
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.