Mahusiano dini tofauti, nipeni mbinu

Mahusiano dini tofauti, nipeni mbinu

Hiyo ni wake up call, kinachofuatia atakwambia kulala na wewe ana zini na yeye hawezi kuishi maisha hayo. Anataka ndoa ya ubani. Aitwe Sheikh itiwe maji muozwe.
 
Hiyo ni wake up call, kinachofuatia atakwambia kulala na wewe ana zini na yeye hawezi kuishi maisha hayo. Anataka ndoa ya ubani. Aitwe Sheikh itiwe maji muozwe.
Nampiga Chini siku hiyohiyo
 
Nampiga Chini siku hiyohiyo
Atakufanyia hayo mkiwa na watoto wawili au watatu na ukimuacha anakwambia wanangu ni Waislamu ninakwenda nao.

Ilinichukua muda sana kukutana na Mkatoliki mwenzangu lakini dini tofauti ni mtihani ndani ya nyumba. Ingawa si Mkatoliki saaana lakini anaelewa nikimwambia ninaamka nisali au umuhimu wa misa J2.
 
Atakufanyia hayo mkiwa na watoto wawili au watatu na ukimuacha anakwambia wanangu ni Waislamu ninakwenda nao.

Ilinichukua muda sana kukutana na Mkatoliki mwenzangu lakini dini tofauti ni mtihani ndani ya nyumba. Ingawa si Mkatoliki saaana lakini anaelewa nikimwambia ninaamka nisali au umuhimu wa misa J2.
Kumbe umeolewa?
 
Ndugu tafuta mtu dini yako, usijiingize kwenye matatizo kwenye maisha yako.
;Kamwe usichanganye imani kwenye mahusiano nikujidanganya.
Usijesema hatukukushauri....
 
Atakufanyia hayo mkiwa na watoto wawili au watatu na ukimuacha anakwambia wanangu ni Waislamu ninakwenda nao.

Ilinichukua muda sana kukutana na Mkatoliki mwenzangu lakini dini tofauti ni mtihani ndani ya nyumba. Ingawa si Mkatoliki saaana lakini anaelewa nikimwambia ninaamka nisali au umuhimu wa misa J2.
Duh upo sawaaaa aiseee dini nitatizo
 
Wangu licha ya kuzaa naye haija mzuwia kuniacha na kwenda kwao Mtwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom