Nilisajili vizuri kabisa tawi la Temeke! Tangu 2019 mwezi wa 10,! Japo mara ya mwisho nilienda mwaka jana mwezi wa 6 nikaambiwa nitatumiwa ujumbe lakini mpaka sahii sijawahi pata ufafanuzi.
Nafikiri tubaki na namba tu kama ndio hali hii mana najiuliza ni utaratibu gani nipitie niweze kujua...
Nimekua nikipata tatizo la bili ya maji kuongezeka sana kias kwamba ninapata waswas maana tangu nibadilishiwe mita iliyokuwa imefubaa haisomeki vzuri, sahiz bili ya maji inakuja kubwa mpaka natamani irudishwe ya awali.
Kama kuna mtu ana uelewa anijuze hizi mita zina utofauti upi isijekuwa...
Inawezekana upo sahihi..maana naamini kua ni nyota kubwa ndo sbb mwanga wake bado mkali..na inasemekana inazid kukua kwahvo kuna mda utafika jua nalo litakua dogo ka nyota
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.