Recent content by Kaka Joni

  1. K

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Mliopo huko vipi jamani uokoaji umeshaanza? Maana najua mpaka watu waje waamke..
  2. K

    Ujasiri wa vijana kutokuogopa UKIMWI miaka hii unatoka wapi?

    Mkuu umeniacha kidogo.. Hebu fafanua STABILIZER inasaidiaje kuzuia maambukizi ya ukimwi mkuu..?
  3. K

    Duniani kuna mambo

    Ila kutokana na jina unalotumia nna wasiwasi ni wewe yamekukuta.. nyie ndio wale mkipata mtu mnaanza kujiita "muke ya.."
  4. K

    Nimuache au nifanyeje wadau

    Kama we ni mtu wa kupenda yale mapenzi ya muda wote kupigiana simu, kuchati whatsapp, kukutana lunch time, jioni kuwa na mpenzi wako, muda wote unataka umuone one.. Mfanyakazi wa benki we hakufai. Wale jamaa wanaingiaga saa 1 asubuhi kutoka ni saa mbili usiku. Lunch ni dakika 10 then wanarudi...
  5. K

    Nauza hizi smartphones

    Mkuu mbona umepanic kusikia sim laki7? Kuna watu wanamiliki nyumba za milioni 600, gari la m200, we unashangaa sim? Isitoshe kuna watu wanapokea mshahara laki saba then wanainywea pombe yote.. Hao huwashangai?
  6. K

    Anayejua jinsi ya kujiunga na Pay Pal

    Bora utafute mtu ambae ameshajiunga akuagizie kupunguza stress
  7. K

    Duka gani Arusha au Moshi naweza kupata samsung SII kwa bei poa

    Mkuu mimi sina duka ila naagiza kila aina ya simu brand new kutoka eBay. Kama unahitaji nicheki Facebook john moshy uone picha na brands. Niko moshi
  8. K

    Msaada: Basi zuri Moshi - Dar

    Thanx mkuu.. Ntatilia maanani
  9. K

    Msaada: Basi zuri Moshi - Dar

    Mi sitaki basi linalotimua mbio. Nataka basi tulivu la starehe ambalo linajali usalama wa raia.
  10. K

    Msaada: Basi zuri Moshi - Dar

    Asante kwa ushauri
  11. K

    Msaada: Basi zuri Moshi - Dar

    Kwa wale ambao huwa mnasafiri mara kwa mara kati ya moshi/arusha - dar hebu nisaidieni ni basi gani zuri kwa sasa kusafiria? Nimesafiri safiri na kilimanjaro exp na dar exp naona kama yameanza kuchokachoka hivi.. Nategemea kusafiri wikiendi hii na familia yangu na nataka gari comfortable /...
  12. K

    Used Projector for sale..!

    MODEL: PANASONIC PT-LB51U PROJECTOR Projector hiyo hapo pichani inauzwa. Ni nzuri, nyepesi na ina display vizuri kwenye mazingira yoyote. Ina remote control, cables zote na begi lake la kubebea. Ina masaa zaidi ya 500 na haina tatizo lolote. Bei 400,000/= tu. Piga / SMS / Whatsapp...
  13. K

    Msaada: Kibali cha biashara - Arusha

    Wadau, Katika kujikwamua na hali mbaya ya kiuchumi, nimehamua kufungua biashara jijini Arusha eneo la sanawari. Tatizo ni kwamba eneo nililopata liko kwenye makazi ya watu. Nimeongea na balozi ananiambia kuna vikao inabidi vikae sijui kujadili na milolongo mingine mingi tuu na kwamba inabidi...
  14. K

    Lenovo P780: Smartphone yenye kukaa na chaji zaidi duniani

    .. mi huwa naona hata smartphone iwe nzuri vipi.. kama siwezi kuichaji asubuhi nikarudi nayo jioni ikiwa bado na charge, kwangu hiyo haifai.
  15. K

    Lenovo P780: Smartphone yenye kukaa na chaji zaidi duniani

    Wakuu labda nishee uzoefu wangu. Nimetumia smartphone za kila aina kuanzia htc, samsung, iphone, sony, lg n.k. Kusema kweli, hizi smartphone ni kama watu tumekariri majina lakini ni tabu tupu. Tangu nianze kutumia lenovo s890 ni miezi sita sasa ya furaha na amani. Simu hii kwakweli imenifanya...
Back
Top Bottom