Kama we ni mtu wa kupenda yale mapenzi ya muda wote kupigiana simu, kuchati whatsapp, kukutana lunch time, jioni kuwa na mpenzi wako, muda wote unataka umuone one.. Mfanyakazi wa benki we hakufai. Wale jamaa wanaingiaga saa 1 asubuhi kutoka ni saa mbili usiku. Lunch ni dakika 10 then wanarudi...
Mkuu mbona umepanic kusikia sim laki7? Kuna watu wanamiliki nyumba za milioni 600, gari la m200, we unashangaa sim? Isitoshe kuna watu wanapokea mshahara laki saba then wanainywea pombe yote.. Hao huwashangai?
Kwa wale ambao huwa mnasafiri mara kwa mara kati ya moshi/arusha - dar hebu nisaidieni ni basi gani zuri kwa sasa kusafiria? Nimesafiri safiri na kilimanjaro exp na dar exp naona kama yameanza kuchokachoka hivi.. Nategemea kusafiri wikiendi hii na familia yangu na nataka gari comfortable /...
MODEL: PANASONIC PT-LB51U PROJECTOR
Projector hiyo hapo pichani inauzwa. Ni nzuri, nyepesi na ina display vizuri kwenye mazingira yoyote. Ina remote control, cables zote na begi lake la kubebea. Ina masaa zaidi ya 500 na haina tatizo lolote. Bei 400,000/= tu.
Piga / SMS / Whatsapp...
Wadau,
Katika kujikwamua na hali mbaya ya kiuchumi, nimehamua kufungua biashara jijini Arusha eneo la sanawari. Tatizo ni kwamba eneo nililopata liko kwenye makazi ya watu. Nimeongea na balozi ananiambia kuna vikao inabidi vikae sijui kujadili na milolongo mingine mingi tuu na kwamba inabidi...
Wakuu labda nishee uzoefu wangu. Nimetumia smartphone za kila aina kuanzia htc, samsung, iphone, sony, lg n.k. Kusema kweli, hizi smartphone ni kama watu tumekariri majina lakini ni tabu tupu. Tangu nianze kutumia lenovo s890 ni miezi sita sasa ya furaha na amani. Simu hii kwakweli imenifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.