Recent content by Kajuni

  1. Kajuni

    Suzuki Escudo ( 3 doors) Fuel Consumption

    Nafikiri kuliuza kaka lakini nataka liwe vizuri
  2. Kajuni

    Suzuki Escudo ( 3 doors) Fuel Consumption

    Askante kwa ushauri nasubiri mafundi waseme wanaweza ama hawawezi
  3. Kajuni

    Suzuki Escudo ( 3 doors) Fuel Consumption

    Jamani wanajamvi naomba kuwakilisha kilio changu cha muda mrefu kwani naamini hapa ni sehemu maalumu ya kupata msaada. Nikwamba nina gari aina ya Suzuki Escudo CC 1,500 cc ya mwaka 1997. Hii gari niliagiza moja kwa moja kutoka japani takribani miaka 4 iliyopita. Historia fupi ni kwamba siku...
  4. Kajuni

    Live on Star TV: Je, Daudi Bashite atajibu maswali haya?

    Ninamsikiliza Mh. lakini ukweli ni kwamba vyeti na all credentials zinatia mashaka pasi kuacha shaka. Asilimia 100% ni utata mtupu?? 1. Swali tupe cheti chako......Jibu..... Madawa ya kulevya?? Mhh hii habari kubwaaaaa. Ningekuwa mimi nisinge weza kwenda kujianika pale. Bora kukaa kimya kuliko...
  5. Kajuni

    Star TV na RC Makonda: Kilichojiri katika mahojiano

    Hakika nimeamini ukweli utakuweka huru...... ni ngumu kuchangaya mafuta na maji. Swali Tupe vyeti vyako..... Jibu... madawa ya kulevya....??
  6. Kajuni

    Live on Star TV: Je, Daudi Bashite atajibu maswali haya?

    Bwana atatenda muujiza!!! Tusubiriii tuone ya bwana Yule
  7. Kajuni

    Hatimaye Maombi ya kumwombea Rais Magufuli yaanza kujibiwa

    We ulishawahi kumsikiliza Chinua Achebe? Shaka wa VOA?
  8. Kajuni

    Naona future nzuri kwa Lazaro Nyarando, Mbunge wa Singida Kaskazini

    Angalia dada Mange asije iona hii thread!!
  9. Kajuni

    Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

    Heshima kwako kaka Mayala Paschal, Hili bandiko limekuja wakati muafaka katika kutathimini mustakabali wa nchi yetu. Jibu langu kwako ni kwamba CHADEMA hawajawa tayari na sioni kwa kipindi kijacho takribani miaka 20 CHADEMA kuwa tayari kushika dola. Napenda kusapoti majibu yangu kwa ushaidi...
  10. Kajuni

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Nitakribani mwaka mpango wa kuweka umeme kweye baadhi ya maeneo umekuwa ukitekelezwa kwa kusua sua. Tumeshuudia nguzo kubwa wa umeme mkubwa (HT) zikichukua takribani miezi nane na zaidi. Usambazaji wa nguzo za umeme mdogo zimechukua miezi karibia mitano. Transforma zilichelewa mpaka watu...
  11. Kajuni

    Dawa za Kulevya: Nape aasa "Tusiwahukumu watu kwa Tuhuma, kubomoa brand ya mtu/taasisi ni sekunde"

    Kwa mtazamo wangu namuomba MH. Nape amuache kijana Mh. Makonda aendelee kuchapa kazi. Kama angekuwa analinda hiyo brand au brands angechukua hatua za dhati kabisa kuhakikisha wasanii hawajiingizi kwenye madawa ya kulevya. Kuwapeleka watu rehab sio suluhisho. Ni sawa na kuokota maiti mtoni na...
  12. Kajuni

    No orchid for Ms. Wema Sepetu

    Kuitwa polisi ni njia moja ya mahojiano tusubiri tuone mwisho wake.. napingana na wewe huwezi kuuza ngada eti kwa sababu wewe ni kada wa chama chetu... ngada isipokuharibu wewe itamdhuru nduguyo au mtanzania mwingine
  13. Kajuni

    Yabainika: Mjane wa Tanga aliyemlilia Rais Magufuli si tapeli. Nyaraka nyeti zaibuliwa

    Kwa vile swala hili limefika mahala pake nafikiri tuvute sheria na haki itapatikana kwa pande zote mbili.
  14. Kajuni

    Tundu Lissu: Wasidhanie kumfunga Lijualikali wanamuondolea sifa za kuwa Mbunge

    Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Tunaitaji mfumo madhubuti wa kutuletea...... bora. Tumia akili zako ama changanya za mbayu wayu. Naomba kuwakilisha.
Back
Top Bottom