Kwa mujibu wa tangazo linalopitishwa kwenye local channel ya Bukoba (mohamed cable)kesho Tanesco watakata umeme.Kwa sababu hiyo wakazi wa Kagera wengi wao hawataona uzinduzi wa kampeini za Ukawa moja kwa moja kutoka jangwani.
Kwa mujibu wa tangazo linalopitishwa kwenye local channel ya Bukoba (mohamed cable)kesho Tanesco watakata umeme.Kwa sababu hiyo wakazi wa Kagera wengi wao hawataona uzinduzi wa kampeini za Ukawa moja kwa moja kutoka jangwani.
Dr Diodorus Kmala huenda akaenguliwa kugombea ikiwa pingamizi alilowekewa litapita.Mgombea wa CUF Abubakari Bugachwa aliweka pingamizi kuwa Kamala hakuandika barua ya kuacha kazi ya Ubalozi kwa mujibu wa taratibu.Bugachwa ambaye ni mwanasheria amekata rufaa baada ya pingamizi lake kutupitiliwa...
Uzinduzi wa mbio za Mwenge umefanyika jana 2.May.2014 Kaitaba,Bukoba.Yahya Kateme ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM Kagera alikuwa kwenye orodha ya wakimbiza Mwenge kitaifa na alikuwa kwenye kambi na wenzake.Baada ya Waziri Fenela Mkangala kuwatambulisha wakimbiza Mwenge Yahya hakutajwa na uwanjani...
Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba imemwachia huru Christian Songambele Diwani wa Kata ya Mabira Wilayani Karagwe aliyedaiwa kutesa na kuua watu wawili.
Hakuna ushahidi unaoonyesha diwani huyo aliwaua watu hao.
Diwani alikuwa ametoroka na baadaye kukamatwa na polisi akiwa mafichoni mjini Bukoba...
Edson Kamukala leo umeamua kuja kivingine ilishatajwa hapa JF kuwa ugomvi wako na Dk Aman ni pale ulipomtaka akupe fedha ili usiandike hiyo habari.Hasira za kunyimwa fedha umekuwa ukitumia gazeti unaloondikia na nafasi yako kama mhariri kujidhalilisha na kuonyesha udhaifu wako.Inawezekana kweli...
Kuna taarifa kuwa Ikulu inahaha kusaka picha na sauti vilivyorekodiwa baada ya baadhi ya magazeti kumnukuu Mkapa akiponda Serikali ya JK wakati wa kusimikwa kwa Askofu Mpya kule Bukoba.Eti Mkuu wa Kaya haamini kama kilichoandikwa ndiyo ukweli na uwazi wa Ben
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.