Recent content by kajigi

  1. kajigi

    Books

    Wadau naomba kujuzwa wapi Viatbu vya serikali vinauzwa..Location Dar es Salam.
  2. kajigi

    kioo cha simu haki sense uki-touch

    Simu yangu nimeitumia kwa miaka mi3 sasa TECHNO H5, Juzi nimeiwasha ila nataka ku-slide nitoe lock ikawa inaonesha waves tu lakin ukigusa screen no response, button za pemben yaani ya kuwasha na za sauti zote zinafanya kazi na earphone natumia kupokea simu kama nimepigiwa... ila shida ni...
  3. kajigi

    Jinsi ya kufanya computer yako iwe na speed pale utumiapo

    mkuu vipi na ,mi cmu hii especially android aloooo mpaka nataman mvua inyeshe niweke mtaroni
  4. kajigi

    Serikali ya Dr Magufuli yatoa pesa pungufu ya Field

    Daaaah jamaa angu acha tulioko darasani tuuseme ukweli...kama unasubiri serikali ije kukutangazia madhaifu haya umepotea na tabia yenu hii ya kutetea upuuzi Mungu anawaona. Kilichosemwa ni ukweli mtupu, kama una rafiki zako wanafunzi kati ya UDSM and ARU waulize utapata ukweli, kuliko kutetea...
  5. kajigi

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    KISMIRI ni special school wanafunzi wanao join pale vgezo lazima uwe umefaulu sana kwa sayansi na arts wapo boys and girls kifupi ipo level za ILBORU, TABORA BOYS, MZUMBE, MSALATO, KILAKALA, na KIBAHA .
  6. kajigi

    Index Number

    Naomba msaada kwa wale waliopitia private candidate wakiwa o-level wakati wa kununua vocha via M-pesa kwa ajili ya application za mikopo na wanatumia index number ipi?? Maana wanakua na vyeti viwili vyenye index number tofauti.
  7. kajigi

    Msaada wa sheria ya ardhi

    M nachojua Ardhi yenye Thamani zaidi ya Mil 5 kesi yake huwa haiwezi kusikilizwa na Village land council. Lakini vilevile Sheria ya Ardhi inamtaka mnunuaji kutafuta taarifa muhimu kuhusu kiwanja kutoka kwenye vyanzo muhimu kama ofc za Ardhi ili kujiridhisha kwamba Ardhi husika haina mgogoro...
  8. kajigi

    Kama una akaunti za Instagram, Whatsapp na Facebook ila huna blog? Jikague..

    Kuna namna yoyote ya kujipatia kpato kwa kuwa mmiliki wa Blog?? If Yes how??
  9. kajigi

    GPS Connection Nuisance

    Daaah mbona waniongezea Hasira mkuu natamani hii laini nitupe sasa...maana ni inaboa mpaka basi
  10. kajigi

    GPS Connection Nuisance

    Habar za wakat huu Wadau. Nina tatizo kwenye Simu yangu, nikiweka laini ya Airtel inawasha GPS automatically kama nimewasha data na hata nikizima baada ya sek kama 45 inajiwasha tena nimeshindwa kuelewaTatizo ni nn maana nikiweka laini za Mitandao Mingine Tatzo kama hili halijitokezi. Kwa yeyote...
  11. kajigi

    Utata wa kifo cha Mwalimu Julius K. Nyerere: Siri zaidi zafichuka

    Hao waTanzania walio pata pa kuanzia ni akina nani? Usitake kuchezea akili za watu unajua kabisa hii issue imeongewa mara kibao nyie mnaojiita WaTanzania mmeshawahi kufanya nn tangu 1999.....au ndo mnatafuta wa kupeleka Mapwepande?? kwa sababu zisisizo na Kichwa wala Miguu. "ni vigumu sana...
  12. kajigi

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Ahaaa tukalien habari mbaya kwa UKAWA akati wanaofaidika ni wote....plus MAKAMANDA wanaenda kuongeza elimu wakitoka hapo au hata kabla mapambano on air.....hii nchi bila kupaza sauti mambo hayaendi.....nawaomba UKAWA Na wapigania haki Na usawa msisite kupaza sauti maana bila hvo tulikua...
  13. kajigi

    Kwanini Lowassa havai vazi rasmi la CHADEMA maarufu kama gwanda?

    Jamaa angu cjawah kuona hata cku moja ya Nyerere akiwa amevaa vazi LA CCM, hlo ndo unaliona kwà Lowassa kutovaa nguo ya chama chake, au una agenda nyingine??
  14. kajigi

    Waliokuwa madiwani wa CCM Arusha Mjini, wahamia CHADEMA

    Chalii angu nimeona harakat nying hapa town ckujua kama kuna hyo tukio niambie ni pande zipi inafanykia hyo niaje nifike chapuu aisee
Back
Top Bottom