Recent content by Kaina

  1. Kaina

    Mwanamke ukiishi naye kinyumba (bila ndoa) hata kwa miaka kadhaa, kisheria hastahili kupata chochote endapo mtaachana

    Nyie si mnakuita kutrombana? Sasa inakuwaje inaonekana mmoja ndo alikuwa anamfanya mwenzie tu?🤷‍♂️🤷‍♂️
  2. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Dah!🤔
  3. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    K Basi sawa. Hilo nalo litugombanishe mkuu?😀
  4. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Mkuu sijasema sijakosea au sina makosa. Mada hapa ni kwamba kuwalea nshakubali wala silalamiki juu ya hilo. Issue hapa ni uhalali wa watoto kama ni wangu au lah!
  5. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Huyu sio mke wangu mkuu. Nafikiri utakuwa haujasoma vizuri mkuu.
  6. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Msaada juu ya kupima DNA tafadhali waungwana
  7. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Msilete huruma kwenye maisha ya watu. Akawapatie baba yao halali na mimi nikalee ambao ni wangu halali. So far sijaacha kuwalea mpaka sasa
  8. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Maana ya hiyo kauli ni kwa mke wa ndani. Mimi huyo hakuwa mke wangu. Nlikutana nae tu kisela
  9. Kaina

    Hawa kweli ni wanangu?

    Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada: Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu. Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae. Bahati nzuri akaja...
  10. Kaina

    Players who never realised their full potential

    Karamoko Dembele
  11. Kaina

    Hotuba ya Rais mpya kijana wa Senegal

    Afrika inaamkaaaa
  12. Kaina

    Shule inawezaje kupata matokeo kama haya?

    Kwani kipindi unamaliza hakukuwa na shule zinazoongoza kitaifa? Sema shule sety tulizosoma ndo tatizo[emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Kaina

    Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara wa elimu

    Huyo Mike Mushi mnaemsemaga mbona simuonagi kwenye critical issues zinazoihusu JF?? Naona mnammilikisha mchaga mwenzenu kitu ambacho hata hakimiliki Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Kaina

    Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara wa elimu

    Achana na huyo mnywa ulanzi anayedandia ligi za watu mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Kaina

    Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara wa elimu

    Weka data. Over Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom