Gwajima nafikil maandiko yaliposema kutatokea manabii wa uongo tayar ameshaanza gwajima.
Kaz kwa kondoo wako.ibada itageuka kuwa siasa ko na sadaka juu au
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Jaman kiongoz mzur huzawaliwa(leader is born not made) hata kama elimu ya makonda haielew bado makonda is the best leader.kizur DC hana kiwango cha elimu knacho mlimit.
Makonda azid kuiokoa tz na mungu ampe uzma
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Kuhusu kufoj chetu inahusiana vp na sakata la kupambana na madawa? Kama ingekuwa RC inahitaj elimu fulan bc angekaguliwa.hata akifoji bado tutazid kumuunga mkono ad mwisho
Respect to makonda
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Akumbuke tunamsikia anayosema huyo zitto.bunge hata kama wana mamlaka sana lkn kwa namn moja au nyngne wanahusika na madawa ya kulevya.
Kwann wamuite RC.waache kujideffence kama wamo wawajibishwe tyuu.
Chadema mnafikr hatma ya hii kes itakuwa nn??? Kwa vyovyote hamuwez kushnda.
Na kama mnaijua mbinu nzur zaid mnatakiwa kumsaidia makonda.coz hili ni pgo la taifa hasa kwetu vijana
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.