kuna ugomvi nimeshuhudia wa wachaga mtu na kakake wanagombea shamba la urithi. Walifika hatua wakaacha kusalimiana mpaka kukataza watoto wao wasitembeleane. Na mpaka kaka mkubwa anafariki hawakuwahi kuelewana kisa ni shamba la urithi. hao ni ndugu wa tumbo moja je kwa mchaga na kabila lingine...
Mheshimiwa rais, nikupongeze kwa juhudi zako tangu umeapishwa na watanzania tunakuombea afya njema na ulinzi wa mwenyezi mungu. Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya makazi iangalie upya bei za kodi za nyumba kwa jiji la Dar.
Bei zimekuwa zikipanda kila kukicha bila utaratibu na...
Tuna mitazamo tofauti. Mimi naamini kiongozi aliyeko juu ni muhimu sana katika kutekeleza dira na maendeleo kwa ujumla. Chama hakiwezi kuleta maendeleo lakini anayeongoza chama ni muhimu sana kwa kufanikisha mipango iliyowekwa. Kwa hiyo sifa za wagombea zinahusu sana sana kwa hatma ya Tanzania...
Una uhakika ndugu?? unaonaje ndani ya mioyo ya watu?? katu usiusemee moyo wa mtu mwingine...subiri yatakayojiri baada ya uchaguzi ndio utaelewa watanzania wanaelewa kwa dhati wagombea ambao ni full wasanii na ambao wana nia ya dhati ya kuona Tanzania inajikwamua kiuchumi
Kiukweli nikisikiliza hotuba za Mwl Nyerere na za mgombea urais wa chadema/UKAWA ni kama mbingu na ardhi. Hotuba za nyerere hadi leo ukisikiliza unajifunza na unapata maarifa nazimeweza kutunzwa kama kumbukumbu. sasa hizi za mgombea UKAWA kweli tunaweza kuhifadhi kwa wajukuu na watoto wetu...
Magufuli tutakupa kura ya kushinda urais sisi wana UKAWA ila tunataka idadi ya wabunge kutoka UKAWA izidi ile ya CCM kuondoa mfumo gandamizi wa CCM na pia wafahamu kuna viongozi waadilifu kutoka UKAWA wazuri tu. Hii italeta uwiano kwa wagombea wote na pia mapinduzi ya uchumi yatawezekana na...
jamani watanzania wako hoi na hali ngumu hata nauli shida na nyinyi mnataka michango tena?? mnaweza kufanya kampaigni kwenye mitandao na TV kupunguza gharama. Mngefanya la maana wakati mgombea akiwa CCM kabla hajaamia UKAWA kuwaomba mchango wananchi kuboresha hospitali na mashule kuwa na hadhi...
Aliyekwambia elimu ya nje ina msaada kwa watanzania ni nani? angalia nchi zilizoendelea jinsi wanavyothamini elimu na vyuo vyao na wanafanya kazi usiku na mchana kujenga nchi yao. Kwa hiyo ungetathmini tufanyaje kuboresha elimu yetu na sio kupoteza fedha za kigeni kupeleka watanzania kusoma nje
Well said mdau!! wazungu wanasema 'nature will take its own course' Nguvu alizotumia Dr Slaa kukijenga chama na kutufungua macho watanzania haziwezi kupotea. Dr Slaa tutakukumbuka kwa kujitoa kupigana na ufisad na bado vita hii itaendelezwa na wengine pamoja na wewe. Ninaamini maendeleo ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.