Hao wahindi wana ofisi hapo nyuma ya mahakama ya kisutu..kampuni ya global...sijui nini..bila shaka ukuta umepakana na olympio primary...nenndeni hapo wanashirikiana sana na maafisa ardhi kuchakatisha ardhi popote hapa Tanzania. Nasikia wameimaliza ardhi ya rufiji na wapi huko..any fertile land...
Umeandika mambo mengi...hakika ni ya kihisia zaidi na yasiyokuwa na lepe la kitaalamu. Siasa ya viwanda hapa inawezaje kutekelezwa? Mtu kuumiza wengine na kudhalilisha wengine coz ya kutaka kufanikisha malengo yake yya kisiasa unamsifia? Anegkuwa mbunifu na kuongeza takwimu za viwanda vipya...
Absolute statements zinaonesha kiwango cha elimu cha baadhi ya wachangiaji humu ndani ya JF. Wengine kama mtoa uzi bado angojea nafasi za uteuzi kama fisi asubirivy kivuli cha mkono kidondoke kama mfupa vile ..mwishowe kadumbukia katika kisima na kuangamia
Kila mtu anawaza na kusifia kitenda hiki. Mimi naombea haki na usawa ..fairness katika kupambana na wahalifu wa aina zote nchini mwenu. Ikiwa tutatanguliza ushabiki na chuki tutaishia kujenga visasi na kutoaminiana. Matokeo ya haya ni laana na taifa lisilojali haki za raia wake hulaaniwa.
Ujasiri wa makondo ni kujiuzulu baada ya tuhuma kutoka kwa wabunge na mwenendo wake wa hivi karibuni kama zilivyoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari jamii..safari, GSM, wema, masogange n.k
Watu wengi humu wametumwa kutafuta habari zaidi!! Kimsingi usichekelee msiba wa jirani..watanzania ni rahisi kupotezwa malengo...mlianza na sukari...kisha ..sijui nini..ni kitu gani manachokifanikisha japo mkitolee taarifa?? kama ilivyo lugha yenyewe,..nita..tuta..ndo msingi wa maendeleo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.