Ngoja uje uone povu la kisukumaSasa tufanyeje arudishwe wizarani???
Na consultant wa terminal III"I wish i could be IGP" bora apewe nafasi anayoitamani.
Tumfurumushe mkuu na vitu vyake pale ikulu,Sasa tufanyeje arudishwe wizarani???
Namna ipi??? Mbona kama unaota vile!! kama kandoto ka Arusha hivitufanye namna
Tunaomba tafsiri ya ramli chonganishi ni imani ya dini gani?Hana karama ya uongozi,, na hafai kuwa hata mganga wa kienyeji atapiga ramli chonganishi
Kwa jinsi mambo yanavyoenda waliosoma kitabu cha mfalme **** wanaweza kuwa na mengi ya kusema.
Mi nauliza jamani wanazuoni, hivi Huyu bwana Pombe kweli kwa utawala huu Wa kimagumagu alipaswa kuwa Raisi au angebaki tu kuwa waziri Wa ujenzi apewe maelekezo ya nini cha kufanya?
Mi naona kama uraisi ni mzigo mkubwa sana ambao amebebebeshwa gafla bila kutarajia. Maana kama alivyokurupuka kugombea ndivyo anavyokurupuka kuendesha taifa.
Au we unaonaje?
Alifaa kuwa chini ya ..........!AI WISHI AI KUDU BI AIJIPI
Over!
Mimi nafikiri cheo cha juu kabisa alichostahili ni kuwa baba tu.Kwa jinsi mambo yanavyoenda waliosoma kitabu cha mfalme **** wanaweza kuwa na mengi ya kusema.
Mi nauliza jamani wanazuoni, hivi Huyu bwana Pombe kweli kwa utawala huu Wa kimagumagu alipaswa kuwa Raisi au angebaki tu kuwa waziri Wa ujenzi apewe maelekezo ya nini cha kufanya?
Mi naona kama uraisi ni mzigo mkubwa sana ambao amebebebeshwa gafla bila kutarajia. Maana kama alivyokurupuka kugombea ndivyo anavyokurupuka kuendesha taifa.
Au we unaonaje?