Huyo jamaa hapo anatafuta riziki kwa ujanja ujanja wake wa kutafuna viwembe na chupa, kesho akifulia akija kwako utamsaidia? au ndio utafungua thread humu oooh omba omba wamezidi na blah blah nyingiiii
Unafikiri hayo mataifa makubwa wanakupenda sana wewe "black people" kuliko raia wake? unadhani watakuja tu bila return yoyote? waafrika wamalize matatizo yao wenyewe.
Kwamba huto tu piki piki ndio sera mpya? mkawadanganye wajinga awamu hii mtazomewa majimbo mengi sana. Hamtakiwi bongo hii namkubali sana Magu kawanyoosha hakuna makelele wala mikusanyiko mlio zoea, nawewe jitokeze kama Mdude uone moto wake ngiri pori wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.