Recent content by kahama kwetu

  1. K

    Degree with Honours

    Kwa swali lako naona watu wanatoa details lakini wanalizunguka kikawaida honors hutolewa kwa mtu ambae GPA yake inakuwa ikipanda kuanzia 4.0 bila kushuka isipokuwa wakat mwingine chuo kikipandishwa hadhi wanafunzi wanaograduate katika miaka hiyo wanapewa lkn kuanzia kiwango fulani kwa kesi yako...
  2. K

    Siri za kambi EL zafichuka

    Huu ni upuuzi wala haina maana kuchangia Kwanza ni group halafu huyo hakuna mtu makin atakayepanga mkakati huo kwenye group ukizingatia na privacy ya group ilivyo naungana na mtu aliyechangia kuwa huyo anaejiita mataka anatafuta sifa tu Nilitegemea pingine hata akanushe Narudia huu ni upuuzi na...
  3. K

    Nani m/kiti bora wa chama cha siasa Tanzania

    Kulingana na vigezo vyako Naona hakuna jibu sahihi hapo
  4. K

    Rwanda inaongoza kwa Elimu East Africa

    Kuiga yaliomazuri cyo mbaya hata kama unayemuiga ni adui yako Nafikir bongo tunataka taifa la wakulima miaka kumi ijayo kwa kauli mbiu ya sasa
  5. K

    Assistantship

    Assistantship ambayo unakuwa unapewa malipo kwa kumsaidia prof kwenye research zake kimsingi ziko za aona mbili TA-Teaching Assistantship,RA-Research Assistantship
  6. K

    Assistantship

    Not scholarship
  7. K

    Assistantship

    Not well understood how?
  8. K

    Assistantship

    Dear friends I would like someone who knows about assistantship procedures application in the us or else and how it can help you pay your tuition fee &accomodation
  9. K

    Obama : Kenyatta ndio kiongozi pekee na uwezo kuunganisha Afrika nzima

    I saw this guy even before election his leadership abilities
  10. K

    Mbunge Joseph Mbilinyi Sugu mara moja moja acha "UTOTO"

    Nafikiri tunatakiwa kujadili tatizo na siyo individual kulingana na hoja yako. La sivyo kesho tutasema fulani ikitoka tena fulani lakin tukijadili tatizo la wabunge kutokuwa na mfano mzuri kwa jamii itasaidia kutokurudiarudia mada kama ambavyo umesema kuwa baadhi ya wabunge walishajadiliwa...
  11. K

    Mbunge Joseph Mbilinyi Sugu mara moja moja acha "UTOTO"

    Kwa kitendo cha sugu kuandika hayo binafsi sioni tatizo sana hasa ukichukulia content ya ujumbe wenyewe, tabia ya kutotendea haki cheo cha ubunge ni wabunge wengi wanyeshida ambao hawafai kuwa role model kwa vijana mfano utoaji lugha za matusi,kauli zenye upeo mdogo n.k kumuandika sugu peke yake...
  12. K

    Baraza la maaskofu katoliki (TEC) limbane Polycarp Pengo kuhusu anavyokataa Serikali tatu

    Wakat mwingine huwa nashangaa cjui ni cdm au nin hasa unapoonyesha kuhitilafiana kifikra Na cdhani kama ndio harakat tunazozitaka au tunatafuta dikiteta mwingine
Back
Top Bottom