Recent content by Kagison

  1. K

    Fire extinguisher check and service

    Huduma ya kuuza na kuservice fire extinguisher inapatika Kagison co ltd. Tunapatikana mbezi tanki bovu kwa komba dar es salaam Mawasiliano 0712569530/0763072847 Email kagisoncompanyltd@gmail.com
  2. K

    Fire extinguisher check and service

    Kagison co ltd has introduced new Safety boot in market made from pure leather Place your order through the following no +255712569530/+255763072847 Email kagisoncompanyltd@gmail.com
  3. K

    Mmiliki wa kituo cha mafuta Tankibovu BP, huyu kijana Magafu anawafukuzia wateja

    Pale bp tanki bovu karibu wahudumu wote hawafai isipokuwa kabinti kamoja tu, MTU unakuja na gari alafu wahudumu wanakuangalia tu bila kukuita au kukuelekeza. Na ukifika kwenye pump unaambiwa nenda kwingine Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Restaurant inalipa kwa hali ya sasa?

    Achane hizo story Hata kama ni chakula kuwa makini pia unaweza poteza hela. Wateja wengi hutaka chakula rahisi na kizuri usipopiga hesabu vizuri utafunga. Pia soko ni dogo hasa maofisini watu huja na vyakula kutoka home au upiga pasi ndefu. Sehemu nyingi za chipsi zimefungwa.
  5. K

    Fire extinguisher check and service

    Tunafanya ukaguzi na matengenezo ya vifaa vya kuzima moto kwa bei nafuu kuanzia 5,000 hadi 10,000 kwa aina na uzito mbali mbali wa kizimia moto. Tupo Mbezi tanki bovu kwa komba Simu no 0712569530 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Fire extinguisher check and service

    We are specialised on variety of fire extinguisher check & service starting from 5,000 to 10,000. Your welcome Located at Mbezi tanki bovu kwa komba 0712569530 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Bussiness partnership in OHS and Fire Equipments

    Hi everybody The committed bussiness partner is needed to join hands with Tanzania local company. The company has full registration and permanent office specialised on OHS Consultancy, Supply of safety gears and supply and installation of fire systems. For interested organisation or person...
  8. K

    Msaada: Kuagiza nguo online toka China kupitia Alibaba

    Alibaba haina shida itakusaidia kumeet na manufacturer au supplier. Cha msingi tumia kampuni zenye ofisi tanzania na china wenye huduma za kutuma pesa na kusafirisha mizigo, wao watalipa pesa kwa niaba yako baada ya kupokea mzigo na pesa zako zitakua salama. Check na Javis international
  9. K

    TCRA yaweka namba ya kucheki simu fake! Kuanzia tarehe 17 June simu zote fake kufungiwa

    Kweli inachanganya Utajuaje kama imeoana bila kukwambia kwamba iko sawa
  10. K

    JPM aomba wananchi wamsaidie kutumbua majipu

    Pia JPM au waziri wa ardhi toa tamko la kusitisha maendelezo yoyote ya ardhi ambayo hayana kibali cha manispaa pia iende sambamba na kuunda taasisi ya kusimamia uendelezaji wa miji na upimaji kama ilivyo CDA. Tunatamani tuone hayo yakitokea lkn yanahitaji msukumo wa viongozi wa juu.
  11. K

    JPM aomba wananchi wamsaidie kutumbua majipu

    Wenyeviti na watendaji wa mitaa kutoza 10% ili kunumua ardhi hasa zisizopimwa wakati hawana mamlaka hayo. JPM piga marufuku na ndo huongeza migogoro ya ardhi isiyo ya lazima.
  12. K

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Akainvest kwenye umeme, shilika la umeme na tanesco wanahitaji wawekezaji kuzalisha umeme sio lzm kwenye ardhi.
  13. K

    Zanzibar wapata Mawaziri wengi kuliko Bara Wizara nyeti za Muungano, Kwanini?

    Zanzibar ni nchi tena inahaki sawa na tanganyika. Kwahiyo usiangalie idadi ya watu angalia nchi mbili zimeungana. Unataka kulitenga jicho ktk mwili kwasababu linanafasi ndogo ktk mwili bila kuangalia umuhimu wake. Think big
  14. K

    TRA hii ni kodi au ni dhuluma?

    Pia hii kodi ukifanya utafiti tra wanaipata kiasi kidogo kwa kujiondoa kuikusanya wao wenyewe ambapo hupelekea mikataba inayopelekwa tra kuwa tofauti na halisia ili kukwepa hiyo kodi. Ss kwa uvivu wao wa kuikusanya inapelekea kuleta usumbufu na pia kukusanya kiasi kidogo cha kodi kwa...
  15. K

    Occupational Health and Safety Consultancy

    Kazi za Kagison co ltd
Back
Top Bottom