Recent content by kagina123

  1. K

    Hivi vinaweza kuwa vyanzo mahususi vya mapato kwa ajili ya Bodi ya Mikopo

    Sikutaka kuchangia kwenye post ya kukosoa watu wenye uwwzo finyu But soon nitaweka mapendekwzo yangu
  2. K

    Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

    Watu wanaotoka diploma kwenda degree wamenyimwa mkopo
  3. K

    Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

    Hujaelewa hoja yake Ni kwamba watu woote wanaotoka diploma kwenda degree wamenyimwa mkopo
  4. K

    Hivi vinaweza kuwa vyanzo mahususi vya mapato kwa ajili ya Bodi ya Mikopo

    Una mawazp mazuri saana kuliko anayelalamika tu bila soln Right woote walochangia wangekuja na constructive ideas Ingesaidia Sema wengi ni omba omba wa akili wanaamini kuna mtu atawaza badala yao
  5. K

    Utafiti wa Twaweza: Watanzania 96% wanampongeza Rais Magufuli

    Jumlisha total ya %rais unapata total 99 Inamaana kiutafiti hyo ni null and void
  6. K

    Tafakari ya Operation UKUTA

    *UKUTA HOJA YA MSINGI ILA.JE ITAFANIKIWA* NA ASAPH S KAGINA leo tarehe 26/7/2016 chadema imetangaza.oparation iitwayo UKUTA kwa maazimio ya kukataa kinachoitwa udikiteta wa raisi aliyeko madarakani kwa hoja za 1Ukandamizaji wa vyama vya siasa 2:Kutumia spika kulibana bunge 3matumizi mabaya...
  7. K

    Nahitaji Kuanzisha Biashara

    Uko wapi Una utaalamu gani Una penda nini Maono yako ni yapi Ukijijibu hayo maswali utapata njia
  8. K

    Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

    kama unawaza hivyo hauwezi endelea na mjadala kwamba kazi za bank accounts afanye wa lasaba ww utakuwa la nne siyo bure
  9. K

    Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

    YAANI sisi wana sayansi ndo tuumie tu Halafu usidhani ni.jumlisha na toa Peke yake kuna mambo mengi ndo.maana.hawajaajili daras la saba
  10. K

    Fagio la vyeti mahospitalini linaweza kuzoa nusu ya wauguzi

    Kama uko kazini kwa sifa ya degree na ukawa umeipata kwa njia.ya chocho Kama.huna.4D Nk Kaa mkao wa kurudi kwenu upishe wasomi waingie
  11. K

    Rais Magufuli, Mama Ndalichako, mnadhani mko sahihi kuichukulia Div.3 ya Sayansi sawa na ya Arts?

    Kama umesoma sayansi usijibizane na walioshindwa kusoma four figure form two halafu wanataka muwe sawa Haiwezekani Na usiwashangae mishipa ikiwatoka kutetea usawa wasio ustahilibkws sababu ndo elimu yao wao wsmwsoma Sana'a tuu Na haitabadilika
  12. K

    Miaka miwili ya ACT Wazalendo, waweza kuzikosoa siasa za chama hiki?

    Hiyo chuki isiyo na chupi ni mbaya saana kisa zitto wansopata hati chafu je
Back
Top Bottom