Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

Chillo97

JF-Expert Member
Jun 18, 2016
630
932
Vyo vifuatavyo vimekuwa vikipokea wanafunzi wengi wa diploma zaidi ya nusu ya wadahiliwa wote huwa ni diploma.
DIT
MUST
ATC
WDMI

Hivi vyuo hutoa dilegree za engineering na watu wengi wataalamu wa nchi hii wamepita hapa. Sasa kwa kihoja cha mwaka huu hawajatoa mkopo kwa wanafunzi hawa walio jiunga vyuo pamoja na kudahiliwa kwa kozi za kipaumbele.

Mpaka sasa hali ni mbaya wanafunzi zaidi ya nusu waliodahiliwa hawajaripoti na wale walioripoti wamelipa direct cost za vyuo tu bado wanadaiwa tution fee hivyo nao wanaweza kusitisha masomo muda wowote baada ya jana Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo kusema hawatatoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma.

Vyuo hivi ndio chimbuko kubwa la wataalamu sasa wanafunzi wanatelekezwa, je hii ndio nchi ya viwanda inayoandaliwa.

Cha kusikitisha zaidi wanafunzi wa diploma walitegemea ajira mpaka sasa hakuna na wanajiunga vyuo vikuu mikopo hakuna, sasa waende wapi?
 
Nchi hii sijui kuna laana ya nani?.
Kama tutakuwa tumelaaniwa na Mungu nadhani kosa lililo sababisha ni kuichagua CCM.
Diploma wana makosa gani kutopewa mikopo?.
Hawa ndo yafaa wapewe maana baadhi yao wametokea makazini hivyo wana uhakika wa ajira japo mishahara ni ya madafu hasa walimu wangu
 
Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
Sasa huyu Bwana kayatoa wapi haya ya mikopo kama haikuwepo!!?
 
Hatulazimishi kupewa mikopo ..
Kama walikuwa hawataki kutupa kwa nini waliweka kigezo cha mikopo kwa wanafunzi wa diploma...

Na miaka iliyopita wamepata mikopo..
 
Vyo vifuatavyo vimekuwa vikipokea wanafunzi wengi wa diploma zaidi ya nusu ya wadahiliwa wote huwa ni diploma..
DIT
MUST
ATC
WDMI


hivi vyuo hutoa dilegree za engineering na watu wengi wataalamu wa nchi hii wamepita hapa.
Sasa kwa kihoja cha mwaka huu hawajatoa mkopo kwa wanafunzi hawa walio jiunga vyuo pamoja na kudahiliwa kwa kozi za kipaumbele.

mpaka sasa hali ni mbaya wanafunzi zaidi ya nusu waliodahiliwa hawajaripoti na wale walioripoti wamelipa direct cost za vyuo tu bado wanadaiwa tution fee hivyo nao wanaweza kusitisha masomo muda wowote baada ya jana mkurugenzi wa bodi ya mikopo kusema hawatatoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma


Vyuo hivi ndio chimbuko kubwa la wataalamu sasa nafunzi wanatelekezwa... je hii ndio nchi ya viwanda inayoandaliwa...


Cha kusikitisha zaidi wanafunzi wa diploma walitegemea ajira mpaka saaa hakuna... na wanajiunga vyuo vikuu mikopo hakuna... sasa waende wapi???
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
 
Hatulazimishi kupewa mikopo ..
Kama walikuwa hawataki kutupa kwa nini waliweka kigezo cha mikopo kwa wanafunzi wa diploma...

Na miaka iliyopita wamepata mikopo..
nani alikwambia miaka iliyopita wamepewa mikopo
 
Nchi hii sijui kuna laana ya nani?.
Kama tutakuwa tumelaaniwa na Mungu nadhani kosa lililo sababisha ni kuichagua CCM.
Diploma wana makosa gani kutopewa mikopo?.
Hawa ndo yafaa wapewe maana baadhi yao wametokea makazini hivyo wana uhakika wa ajira japo mishahara ni ya madafu hasa walimu wangu
hiyo ni mada mpya nikuulize ni nchi gani afrika inatoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma
 
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
Ninasema diploma to degree
 
Mleta mada ana hoja ila amekosea kuwasilisha anachomaanisha ni wale wanafunzi waliosoma diploma ambao wamechaguliwa kujiunga na elimu ya juu /shahada ktk vyuo alivyovitaja.
 
Vyo vifuatavyo vimekuwa vikipokea wanafunzi wengi wa diploma zaidi ya nusu ya wadahiliwa wote huwa ni diploma..
DIT
MUST
ATC
WDMI


hivi vyuo hutoa dilegree za engineering na watu wengi wataalamu wa nchi hii wamepita hapa.
Sasa kwa kihoja cha mwaka huu hawajatoa mkopo kwa wanafunzi hawa walio jiunga vyuo pamoja na kudahiliwa kwa kozi za kipaumbele.

mpaka sasa hali ni mbaya wanafunzi zaidi ya nusu waliodahiliwa hawajaripoti na wale walioripoti wamelipa direct cost za vyuo tu bado wanadaiwa tution fee hivyo nao wanaweza kusitisha masomo muda wowote baada ya jana mkurugenzi wa bodi ya mikopo kusema hawatatoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma


Vyuo hivi ndio chimbuko kubwa la wataalamu sasa nafunzi wanatelekezwa... je hii ndio nchi ya viwanda inayoandaliwa...


Cha kusikitisha zaidi wanafunzi wa diploma walitegemea ajira mpaka saaa hakuna... na wanajiunga vyuo vikuu mikopo hakuna... sasa waende wapi???
Sidhani kama Diploma huwa wanapewa mikopo,ungetuambia kwanza mwaka gani HESLB iliwapa mikopo wanaosoma diploma
 
Back
Top Bottom